Hilo shamba walinunua shs.ngapi wao?Shamba alilopewa Azam ndo hawa walitolewa.
Rais hana hayo mamlaka? Au hawakujua kama ana hayo mamlaka? Hawakujua masharti ambayo yakivunjwa hati inafutwa?. A new government under President John Magufuli revoked the title to the land in 2016.
Tundu Lissu aliwaonya mambo ya MIGAMuwekezaji wa Kiswidi aliyeshinda tuzo ya Dola za kimarekani milioni 165 ameishawishi Mahakama ya Uholanzi kuishikilia ndege ndege ya Tanzania wakati pingamizi zikiendelea.
Mgogoro huo umetokana na kufutwa mpango wa kuendeleza mashamba ya sukari wilayani Bagamoyo umbao ulikuwa na malengo ya kuzalisha sukari kwaajili ya kuuza nje ya nchi na ethanol ili kuzalishia umeme.
Mradi huo ulipata pingamizi kutoka kwa wanaharakati wa ndani wakiwawakilisha wakulima 1300 ambao bado walikuwa wakitumia ardhi hiyo. Pia muwekezaji huyo aliilaumu Serikali ya Tanzania kushindwa kutengeneza kanuni za sekta ya sukari na kufanya ardhi hiyo kuwa na vikwazo.
Serikali mwaka 2016 ilifuta hati hiyo. Aprili, 2022 Mahakama iliipa ushindi wa tuzo yenye thamani ya Dola za Kimarekani milioni 165 Kampuni ya EcoDevelopment. June 16, ikiwa ni siku moja baada ya ICSID kupokea maombi ya Tanzania kubatilisha hukumu hiyo, Ecodevelopment ilipata ruhusa (leave) kutoka kwenye mahakama ya wilaya ya The Hague kutimiza na maamuzi ya upande mmoja kutoka kwa jaji wa Limburg yaliyotoa kibali cha kuishikilia ndege.
Ndege ya Airbus A220 ilikuwa tayari imenyimwa ruhusa ya kupaa tangu Januari kwenye kiwanja cha ndege cha Maastricht Aachen taarifa ikisema ni kutokana na matatizo kwenye injini.
Zaidi, jisomee=> Hapa
==========
A Swedish investor that won a US$165 million award against Tanzania has persuaded a Dutch court to uphold the attachment of an aircraft owned by the east African state, even though ICSID has stayed enforcement pending annulment proceedings.
On 8 November, a preliminary relief judge in the District Court of Limburg refused to lift the attachment granted in favour of Swedish entity EcoDevelopment in Europe.
Tanzania argued the attachment was unlawful because it was obtained a day after the state had applied to ICSID to annul EcoDevelopment’s award. But the judge reasoned that ICSID’s provisional stay of enforcement of the award only took effect on the date that the institution registered the state’s annulment request.
The Swedish company is using Houthoff in the Dutch courts and Mannheimer Swartling in the ICSID proceedings. Tanzania has turned to Buren Legal for the attachment proceedings but has not appointed external counsel in the arbitration or annulment proceedings.
EcoDevelopment, which is owned by 18 Swedish citizens and business leaders, brought its ICSID claim in 2017 under the Sweden-Tanzania bilateral investment treaty.
The dispute concerned abandoned plans to develop a sugar cane project in Bagamoyo on the eastern coast of Tanzania. The project was intended to produce sugar for export as well as ethanol for use in generating electricity.
But the project encountered opposition from local activists on behalf of 1,300 farmers still using the land. The investor also blamed the government for failing to introduce a new sugar industry regulation and provide land free from incumbrance. A new government under President John Magufuli revoked the title to the land in 2016.
In April this year, an ICSID tribunal chaired by the UK’s Sir Christopher Greenwood KC and including Stanimir Alexandrov and Funke Adekoya SAN issued an award in EcoDevelopment’s favour and ordered Tanzania to pay nearly US$165 million.
On 16 June, a day after ICSID received Tanzania’s application to annul the award, EcoDevelopment obtained leave from the District Court of The Hague to pursue enforcement; and an ex parte ruling from the provisional relief judge in Limburg permitting the plane seizure.
The Airbus A220 plane, operated by the state’s flag carrier Air Tanzania, had already been grounded at Maastricht Aachen Airport since January this year, reportedly because of engine problems.
ICSID eventually registered the annulment request on 21 June and notified the parties of the provisional stay of enforcement.
An ICSID ad hoc committee chaired by ex-Milbank partner Michael Nolan and including Carole Malinvaud of Gide Loyrette Nouel and Kenya’s former attorney general Githu Muigai issued a decision in September continuing the stay of enforcement.
Tanzania meanwhile applied to the Limburg court to lift the attachment and prohibit EcoDevelopment from seeking any further attachment based on the ICSID award while the annulment proceedings are pending.
The state argued that the effect of the automatic stay granted by ICSID was that the award was not provisionally enforceable and that the attachment was thus granted unlawfully. It contended that the Dutch courts were bound to recognise the ICSID stay decision as binding.
Tanzania also argued that the attachment had affected its interests in a disproportionately serious way and that as a national government it had sufficient assets within and outside its territory to ensure the award would be paid.
But in this month’s decision, Judge KJH Hoofs said it was not clear from the ICSID Convention when the provisional stay commences. While Christoph Schreuer’s well-known commentary on the convention suggests it takes effect from the date of an annulment application, the judge said ICSID case law suggested it took effect upon the date of its registration by ICSID. The judge therefore concluded that the attachment was lawful.
The judge also said the ad hoc committee’s decision to continue the stay did not affect the attachment, and that Dutch law applied to the execution of the award. She said she could only lift an enforcement order if the executing party had no reasonable interest in using their power of enforcement, which Tanzania had not demonstrated.
She also declined to prohibit further attachments, observing that EcoDevelopment had already stated that it would not sell the aircraft or take further enforcement measures while the annulment proceeding was ongoing.
Earlier this month, the ad hoc committee rejected an unusual attempt by EcoDevelopment to have Tanzania’s annulment request thrown out under ICSID rule 41(5), which allows for expedited dismissal of claims that are manifestly without legal merit. The mechanism is more commonly used in ICSID arbitrations but was invoked by Panama last year in a failed bid to knock out an annulment request by Dominion Minerals.
United Republic of Tanzania v. EcoDevelopment in Europe AB & others (C/03/310349/KG SA 22-395)
In the District Court of Limburg
Hakuwa na hayo mamlaka kisheria?mwaka 2016 jiwe ndio alisababisha haya kwa kufuta mikataba bila kuangalia mbele. jiwe ameleta hasara sana kwenye hili taifa. haya, nimekaa pale, nasuburi sukumagang waje na hasira zao za kishamba.
Tusubiri tuone Eltwege a.k.a Deo Sanga majibu yake.mwaka 2016 jiwe ndio alisababisha haya kwa kufuta mikataba bila kuangalia mbele. jiwe ameleta hasara sana kwenye hili taifa. haya, nimekaa pale, nasuburi sukumagang waje na hasira zao za kishamba.
alikuwa anashinikiza watendaji kufanya hivyo, hakuna muda tz ilipitia utawala usio na sheria kama kipindi chake. na ninaamini haitakuja kutokea tena.Hakuwa na hayo mamlaka kisheria?
😅😅😅😅Chawa hawakawii kusema ni Lissu.
Kwenye Ulaji utawasikia wakija na vitisho....usichezee nchi, hii ina wenyewe! Kwenye matatizo utasikia wanatuita sisi si wazalendo😅😅Hapo watasema tuungane kama taifa, na tuwe na uvumilivu na subra maana ndio kauli zao kama kuna matatizo
Asante sana ReplicaMuwekezaji wa Kiswidi aliyeshinda tuzo ya Dola za kimarekani milioni 165 ameishawishi Mahakama ya Uholanzi kuishikilia ndege ndege ya Tanzania wakati pingamizi zikiendelea.
Mgogoro huo umetokana na kufutwa mpango wa kuendeleza mashamba ya sukari wilayani Bagamoyo umbao ulikuwa na malengo ya kuzalisha sukari kwaajili ya kuuza nje ya nchi na ethanol ili kuzalishia umeme.
Mradi huo ulipata pingamizi kutoka kwa wanaharakati wa ndani wakiwawakilisha wakulima 1300 ambao bado walikuwa wakitumia ardhi hiyo. Pia muwekezaji huyo aliilaumu Serikali ya Tanzania kushindwa kutengeneza kanuni za sekta ya sukari na kufanya ardhi hiyo kuwa na vikwazo.
Serikali mwaka 2016 ilifuta hati hiyo. Aprili, 2022 Mahakama iliipa ushindi wa tuzo yenye thamani ya Dola za Kimarekani milioni 165 Kampuni ya EcoDevelopment. June 16, ikiwa ni siku moja baada ya ICSID kupokea maombi ya Tanzania kubatilisha hukumu hiyo, Ecodevelopment ilipata ruhusa (leave) kutoka kwenye mahakama ya wilaya ya The Hague kutimiza na maamuzi ya upande mmoja kutoka kwa jaji wa Limburg yaliyotoa kibali cha kuishikilia ndege.
Ndege ya Airbus A220 ilikuwa tayari imenyimwa ruhusa ya kupaa tangu Januari kwenye kiwanja cha ndege cha Maastricht Aachen taarifa ikisema ni kutokana na matatizo kwenye injini.
Zaidi, jisomee=> Hapa
==========
A Swedish investor that won a US$165 million award against Tanzania has persuaded a Dutch court to uphold the attachment of an aircraft owned by the east African state, even though ICSID has stayed enforcement pending annulment proceedings.
On 8 November, a preliminary relief judge in the District Court of Limburg refused to lift the attachment granted in favour of Swedish entity EcoDevelopment in Europe.
Tanzania argued the attachment was unlawful because it was obtained a day after the state had applied to ICSID to annul EcoDevelopment’s award. But the judge reasoned that ICSID’s provisional stay of enforcement of the award only took effect on the date that the institution registered the state’s annulment request.
The Swedish company is using Houthoff in the Dutch courts and Mannheimer Swartling in the ICSID proceedings. Tanzania has turned to Buren Legal for the attachment proceedings but has not appointed external counsel in the arbitration or annulment proceedings.
EcoDevelopment, which is owned by 18 Swedish citizens and business leaders, brought its ICSID claim in 2017 under the Sweden-Tanzania bilateral investment treaty.
The dispute concerned abandoned plans to develop a sugar cane project in Bagamoyo on the eastern coast of Tanzania. The project was intended to produce sugar for export as well as ethanol for use in generating electricity.
But the project encountered opposition from local activists on behalf of 1,300 farmers still using the land. The investor also blamed the government for failing to introduce a new sugar industry regulation and provide land free from incumbrance. A new government under President John Magufuli revoked the title to the land in 2016.
In April this year, an ICSID tribunal chaired by the UK’s Sir Christopher Greenwood KC and including Stanimir Alexandrov and Funke Adekoya SAN issued an award in EcoDevelopment’s favour and ordered Tanzania to pay nearly US$165 million.
On 16 June, a day after ICSID received Tanzania’s application to annul the award, EcoDevelopment obtained leave from the District Court of The Hague to pursue enforcement; and an ex parte ruling from the provisional relief judge in Limburg permitting the plane seizure.
The Airbus A220 plane, operated by the state’s flag carrier Air Tanzania, had already been grounded at Maastricht Aachen Airport since January this year, reportedly because of engine problems.
ICSID eventually registered the annulment request on 21 June and notified the parties of the provisional stay of enforcement.
An ICSID ad hoc committee chaired by ex-Milbank partner Michael Nolan and including Carole Malinvaud of Gide Loyrette Nouel and Kenya’s former attorney general Githu Muigai issued a decision in September continuing the stay of enforcement.
Tanzania meanwhile applied to the Limburg court to lift the attachment and prohibit EcoDevelopment from seeking any further attachment based on the ICSID award while the annulment proceedings are pending.
The state argued that the effect of the automatic stay granted by ICSID was that the award was not provisionally enforceable and that the attachment was thus granted unlawfully. It contended that the Dutch courts were bound to recognise the ICSID stay decision as binding.
Tanzania also argued that the attachment had affected its interests in a disproportionately serious way and that as a national government it had sufficient assets within and outside its territory to ensure the award would be paid.
But in this month’s decision, Judge KJH Hoofs said it was not clear from the ICSID Convention when the provisional stay commences. While Christoph Schreuer’s well-known commentary on the convention suggests it takes effect from the date of an annulment application, the judge said ICSID case law suggested it took effect upon the date of its registration by ICSID. The judge therefore concluded that the attachment was lawful.
The judge also said the ad hoc committee’s decision to continue the stay did not affect the attachment, and that Dutch law applied to the execution of the award. She said she could only lift an enforcement order if the executing party had no reasonable interest in using their power of enforcement, which Tanzania had not demonstrated.
She also declined to prohibit further attachments, observing that EcoDevelopment had already stated that it would not sell the aircraft or take further enforcement measures while the annulment proceeding was ongoing.
Earlier this month, the ad hoc committee rejected an unusual attempt by EcoDevelopment to have Tanzania’s annulment request thrown out under ICSID rule 41(5), which allows for expedited dismissal of claims that are manifestly without legal merit. The mechanism is more commonly used in ICSID arbitrations but was invoked by Panama last year in a failed bid to knock out an annulment request by Dominion Minerals.
United Republic of Tanzania v. EcoDevelopment in Europe AB & others (C/03/310349/KG SA 22-395)
In the District Court of Limburg
Yawezekana hii ikawa sababu ya CCM kulazimisha uwepo wa Rais wa sita lakini kwenye awamu njiti ya sita!. 😳 🤔Hii kesi nikipewa mimi asubuhi na mapema tu nashinda na narudisha dege langu
OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI:
Missioon and Vission
Dhima:
Kuendesha Madai ya Mashauri ya Upatanishi, Usuluhisho na Mashtaka mengine ya kiraia kwa ufanisi na kiutaalam kwa niaba ya Serikali.
Dira:
Kuwa Ofisi Mahiri ya Umma ya Kuendesha kesi na Mashauri ya Madai yanayoihusu Serikali soma zaidi : Missioon and Vission |Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali
Tafuta kwanza sababu ya ndege kukamatwa kabla ya kuandika uharo wako hapa. Huyo mwekezaji kutoka Sweden alinyang'anywa shamba la miwa isivyo halali mwaka 2016.Magufuli alipaswa kuungwa mkono kwa kujaribu kutunasua kwenye mamikataba ya kifisadi aliyoingia Kikwete,
Bahati mbaya sana Magufuli alikumbana na pingamizi toka kwa wapumbavu kama wewe!
Umeandika feelings zako tu. Kwa hiyo umaamini ndege ya Canada iliachiliwa hivi hivi bila Hermanus Steyn kulipwa? Akili yako ni ndogo mno hata kisoda haitoshi.Huu upumbavu wa Samia v Magufuli kwenye kila kitu unakuzwa na njaa zenu; halafu sijui baadhi yenu wageni.
Weka mipaka ya kila tatizo la Tanzania basi lazima kuna kiongozi anahusika.
Hivi mtu anawezaje kukudai fidia wakati ata eneo lenyewe ajaendeleza, anawezaje kukudai fidia wakati sheria za Tanzania zina mpa raisi mamlaka ya kufuta matumizi ya ardhi muda wowote.
Ni moja ya kesi ya kijinga kweli kusoma kwenye maisha yangu.
Magufuli alikuwa na team inayoangalia kesi zote zinazofunguliwa dhidi ya Tanzania na walikuwa washaanza kuzishinda kesi za kijinga kama hizi.
Hiyo kesi imesikilizwa mwaka huu na ya kipuuzi kweli, issue inakuja serikali ya Tanzania hazina pressure tactics za kupambana na mabeberu wala counter action.
Baada ya kulipa Canada kirahisi au serikali kutoidai fidia South Africa nilijua tu huu mchezo wazungu watatutesa nao.
Hapo bila ya Tanzania kuishirikisha AU, na kuchukua hatua za kisheria dhidi ya hizo nchi kwa kulalamikia WTO hizo economic sabotage na huu mchezo autoisha.