Ndege ya Tanzania yakamatwa nje, Taifa ladaiwa bilioni 380 kwa kuvunja mkataba bila utaratibu

Hii nchi sabotage zinaanzia ndani! Wapiga deal wanaumiza Taifa ...
 
Ooh diplomasia imeimarika hatusikii tena habari za ndege kukamatwa nje oooh mazingira ya uwekezaji this Mama that...

Kuna propaganda na kuna ukweli.
 
izi heshima wanapewaga zanin wakati taifa bado linaburuza miguu, dah naumiaga ila sina la kufanya
 
mwaka 2016 jiwe ndio alisababisha haya kwa kufuta mikataba bila kuangalia mbele. jiwe ameleta hasara sana kwenye hili taifa. haya, nimekaa pale, nasuburi sukumagang waje na hasira zao za kishamba.
 
Tundu Lissu aliwaonya mambo ya MIGA

Eltwege yuko wapi😅😅
 
mwaka 2016 jiwe ndio alisababisha haya kwa kufuta mikataba bila kuangalia mbele. jiwe ameleta hasara sana kwenye hili taifa. haya, nimekaa pale, nasuburi sukumagang waje na hasira zao za kishamba.
Hakuwa na hayo mamlaka kisheria?
 
mwaka 2016 jiwe ndio alisababisha haya kwa kufuta mikataba bila kuangalia mbele. jiwe ameleta hasara sana kwenye hili taifa. haya, nimekaa pale, nasuburi sukumagang waje na hasira zao za kishamba.
Tusubiri tuone Eltwege a.k.a Deo Sanga majibu yake.
 
Hapo watasema tuungane kama taifa, na tuwe na uvumilivu na subra maana ndio kauli zao kama kuna matatizo
Kwenye Ulaji utawasikia wakija na vitisho....usichezee nchi, hii ina wenyewe! Kwenye matatizo utasikia wanatuita sisi si wazalendo😅😅
 
halafu, kwani watu waliotuingiza kwenye shida hiyo, si wapo? tunasubiri nini kuwarukia? huo mpunga ni mwingi sana kudeduct from your budget kumlipa huyo mzungu. afu, tuwe makini na hawa wawekezaji wazungu wengi wanakuja kwa mlengo huo kwamba mkataba uvunjwe ili watutafune kichwa, sasa ukikutana na watu aina ya jiwe unaingizwa mkenge, unakufa afu unaachia watu msala namna hii.
 
Asante sana Replica
 
Hii kesi nikipewa mimi asubuhi na mapema tu nashinda na narudisha dege langu
Yawezekana hii ikawa sababu ya CCM kulazimisha uwepo wa Rais wa sita lakini kwenye awamu njiti ya sita!. 😳 🤔
 

23 August 2019

Prof. Kabudi - Hujuma za Mabeberu Kurudisha Nyuma Juhudi za Rais

Serikali ya Tanzania kupitia Waziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania, Profesa Palamagamba Kabudi amesema ndege aina ya Bombardier Q400 imakamatwa nchini Canada. Prof. Kabudi ashauri mabeberu wasusiwe

 
Magufuli alipaswa kuungwa mkono kwa kujaribu kutunasua kwenye mamikataba ya kifisadi aliyoingia Kikwete,

Bahati mbaya sana Magufuli alikumbana na pingamizi toka kwa wapumbavu kama wewe!
Tafuta kwanza sababu ya ndege kukamatwa kabla ya kuandika uharo wako hapa. Huyo mwekezaji kutoka Sweden alinyang'anywa shamba la miwa isivyo halali mwaka 2016.

Tushukuru tu yule Kichaa wa Chato alikataliwa na Mungu, au la tungekipata cha moto.
 
Umeandika feelings zako tu. Kwa hiyo umaamini ndege ya Canada iliachiliwa hivi hivi bila Hermanus Steyn kulipwa? Akili yako ni ndogo mno hata kisoda haitoshi.

Halafu mambo ya mikataba siyo kila mmoja ana uwezo wa ku ARGUE. Sasa hapa unataka AU iingilie kati, inaaanzaje? Yule Kichaa akivuruga nchi mlikuwa mnamshangilia na kumuita MZALENDO, saa hizi unatafuta huruma ya WTO.
 
Wajuvi tupeni maelekezo maana habari zilizopo kuhusu mwekezaji aliyeshinda kupata uwekezaji wa kiwanda cha sukari na kuvunjia mikataba yake.je ndio sehemu hiyo aliyopewa azam kuzalisha sukari.

Ndege imekamatwa huko uswis na leo tunaogopa kwenda hata south africa wasije kukamata nyengine.

tupeni maelezo maana wakati JPM 2016 alisikika "wapinzani wana tuchelewesha "
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…