Ndege ya Tanzania yakamatwa nje, Taifa ladaiwa bilioni 380 kwa kuvunja mkataba bila utaratibu

Ndege ya Tanzania yakamatwa nje, Taifa ladaiwa bilioni 380 kwa kuvunja mkataba bila utaratibu

Tz ingekua ni mtu basi angekua ni yule mtu anaerudi nyumbani saa 6 usiku na kuondoka saa 11 alfajiri kwaajili ya kukimbia madeni
Hii nimeipenda! maanake huko yule wa kurembua macho ya kula kungu! atakata kiguu na njia!
  • Huku madeni
  • Huku wapinzani wanalishtaki kwa ukandamizaji hadi macho yasiyo na genye yatoke!
 
Kwa hiyo habari mbaya kama hii kwa nchi wewe haikuhusu ndugu yangu? Hadi uambiwe tuungane? Hivi huku tunaelekea wapi? Badilika. Tanzania ikihujumuwa unahujumiwa wewe na mnyororo wa vizazi vyako mijini na vijijini. #Wake up. [emoji120][emoji120][emoji120]
Tatizo hizo pesa zinawanufaisha wao zaidi ndio maana sie tuna enjoy tu.!


Enzi za Magu ingetuuma sana maana alitumia hizo pesa kujengea lami vijijin kwetu na kujenga masoko, stend n.k
 
Dawa ya deni ni kulipa tu, hakuna namna.
Hilo sio deni, ni watu wametunga tu gharama na kuzipeleka mahakamani.

Mfano leo ukate mti halafu ukaziba barabara, halafu nikachelewa kwenda kwenye kikao ‘hewa’ cha kusaini mkataba wa milioni 10, halafu kesho yake Unashangaa gari yako imekamatwa unadaiwa milioni 10. Hivi ndivyo tunafanyiwa Tz.
 
Lisu si amesomeshwa kwa kodi za watanzania aje aonyeshe uanasheria wake sasa aikomboe ndege.

Lakini ninanvyojua atakuwa anashangilia sana huko aliko kwamba li ndege la Samia limekomeshwa


Wakati wa Magufuli na Kabudi zilikamatwa nyingi na zikaachiwa na kuendelea kupiga kazi.

Sasa hivi tunaambiwa nchi imefunguliwa na mahusiano ya kidiplomasia ni mazuri mno alafu ndege inakamatwa
Hili tatizo alilileta Jiwe mzee wa kuvunja mkataba bila kufata sheria
 
Lisu si amesomeshwa kwa kodi za watanzania aje aonyeshe uanasheria wake sasa aikomboe ndege.

Lakini ninanvyojua atakuwa anashangilia sana huko aliko kwamba li ndege la Samia limekomeshwa


Wakati wa Magufuli na Kabudi zilikamatwa nyingi na zikaachiwa na kuendelea kupiga kazi.

Sasa hivi tunaambiwa nchi imefunguliwa na mahusiano ya kidiplomasia ni mazuri mno alafu ndege inakamatwa
Uzembe wetu na kutofuata taratibu ikitokea consequences kama hiz tusitafute kichaka cha kujifichia. Kwa akil yako fupi unafikir ziliachiwa hivhiv tu 🤣🤣🤣
 
Wakati wa Mwendazake, tuliambiwa haya mambo yalikuwa yanatokea kwasababu Mwendazake alikuwa anapambana na mabeberu na mafisadi katika vita ya kiuchumi.

Sasa leo Mwendazake hayupo, je hiyo vita ya kiuchumi nani anapambana nayo?

Serikali ya Mama Samia na yenyewe iko katika vita ya kiuchumi na mabeberu?

Au tutasingizia tena wapinzani waliokuwa wanachelewesha maendeleo?

Nchi ngumu sana hii!
Unatoaa je taarifa Kama hi Bill kuweka nyama za kutosha
 
Back
Top Bottom