Jaribu kuwa na staha kwa kiongozi wako tena Rais wa nchi.Hii nimeipenda! maanake huko yule wa kurembua macho ya kula kungu! atakata kiguu na njia!
- Huku madeni
- Huku wapinzani wanalishtaki kwa ukandamizaji hadi macho yasiyo na genye yatoke!
Shida sio kuandika tupige donations tugagomboe ndege yetu.Kweli magazeti siku hizi yana ka-uhuru ka kuandika kitu, ingekuwa enzi zile…wangekiona…
Wanalamba Asali.
Habari ipo kwenye gazeti la Mwananchi la leo tarehe 1st Dec 2022huyu fala kaleta habari as if kila mtu anaijua
Ni upumbavu na ujinga wa hali ya juu kabisa. Kuna watu wanafurahi sana kuitwa wanyonge.Mtu akishakubali itwa mnyonge
Basi ndiyo ashajiuza
Utasikia,wanyongeee mpo...
Wanyonge wanajibu..tupooo,kwaa kwaaa
Ova
Kwani France kinachomfanya aendelee kuing'ang'ania Mali ni nini haswa?Hivi comment kama hizi huwa mnatoa bila kufikiri? Beberu gani aje kugombana na nchi omba omba? Yaani hata budget yako unakopeshwa au kupewa tu hlafu u-compete na bebeeru? GDP yako ni ngapi; your trade volume comparison by world standard ni negligible! my foot! kwani google mnaitumiaje; for watching porn!
Hyu kijana Ni mpuuzi San Hana heshima kwa viongozi na s dhani kama pia atakuwa na heshima kwa baba akeJaribu kuwa na staha kwa kiongozi wako tena Rais wa nchi.
Watanzania wape kichwa cha habari tu story wanatengeneza wenyewe.
Kwanini mtu usisubiri habari kamili au hata uwe na background kidogo za nani mdai, ndege imekamatwa wapi, lini etc kabla ya kupita ili watu wa comment on merit.
Sasa ulitaka wafanye nini kama walikomalia na wakata kuuwawa.pambana na hali zenu.Enzi za Magufuli wakina Lissu walikuwa wanafurahia hizi news, sahivi wako kimya
Wewe kiazi Lissu alionya juu ya kuvunja mikataba kiholela yule mwendakuzimu akaamuru auwawe, sasa matokeo yake ndiyo haya, lenyewe liko kuzimu huko nchi inavuna matunda ya wazimu wakeEnzi za Magufuli wakina Lissu walikuwa wanafurahia hizi news, sahivi wako kimya
Mama anaupiga mwingi kisawasawa, tatizo yule jamaa kamuachia misala kibao.Shida sio kuandika tupige donations tugagomboe ndege yetu.
Mama anaupiga mwingi.
Uwe na heshima sas na rais bila kumuheshimu huyu rais uwezi kuwa na uhalali wa kusema hvyoHii nimeipenda! maanake huko yule wa kurembua macho ya kula kungu! atakata kiguu na njia!
- Huku madeni
- Huku wapinzani wanalishtaki kwa ukandamizaji hadi macho yasiyo na genye yatoke!
ingekuwa ni enzi za Rais Magufuli kina kigogo and the likes wangeandika sana ila sasa hivi wako kimya
hii inazidi kuprove kina kigogo walikuwa kina nani na nani😎
Kuna mazuzu vichwa nazi wakisikia habari za aina hii kwa uzuzu wao watafurahi kweli kweli.
Ndio habari inavyosema au umejiongeza kama kawaida ya mtanzania?Ujinga wa kutoheshimu mikataba awamu ya 5.
Undergoes costing the nation.
Jamaa yupi?Mama anaupiga mwingi kisawasawa,tatizo yule jamaa kamuachia misala kibao.
Jemedari #SSH atayamaliza kwa diplomasia yake kuntu, Jamaa aliacha misala kibaoHii mambo ya kukamata ndege zetu bado inaendelea...?