Ndege ya Vita ya Marekani imetua Florida Muda huu baada ya kukaa angani kwa muda mrefu ikirekodi hali ya usalama wa Taifa

Ndege ya Vita ya Marekani imetua Florida Muda huu baada ya kukaa angani kwa muda mrefu ikirekodi hali ya usalama wa Taifa

Hii ndege inatumia mechanism gani ya fuel/energy sikuzote hizo huko juu.?
 
Naona huko walikuwa wanakula tambi na biskut tu.

Hii magu aifikirie pia kutuletea kwa usalama wake dhid ya wapiga dili..tutadukua kila kitu toka kwao.
 
Ile tweet ya trump early morning kumbe aliimaanisha hii operation,daah this world,
Name someone a terrorist, assassinate him/her and his Family,the poor amd stupid people will praise with joy,daamn!
Takbiiir
 
KUNA WATU WANAPENDA NDEGE HATARI, WAKISIKIA NA HII WATAWEKA ODA
... labda wauze nchi ili wapate pesa za kuweka hiyo oda maana bei yake sina hakika kama "kasungura kadogo" katatosha hata kununua tairi lake.
 
Huyo jamaa anaesema atamwambia Baba anamaanisha Baba yetu huyu huyu?
 
Acha kudanganya watu,ndege inamilikiwa na NASA na ina uwezo wa kusafiri umbali mrefu hadi international space station ambayo inamilikiwa na nchi kadhaa ikiwemo Urusi,ina uwezo wa kujishikiza kwenye hiyo space station kwa muda mrefu hata zaidi ya miaka2 na kurudi duniani ikiwa na wanasayansi ambao yawezekana wakawa wa nchi tofauti.
Inaitwa atlantis shuttle na sio ndege vita,ni ndege inayohusika na utafiti wa anga ya juu.
 
KUNA WATU WANAPENDA NDEGE HATARI, WAKISIKIA NA HII WATAWEKA ODA
Watu wanaoishi nyumba za National Housing chumba na sebure familia nzima yenye wavujukuu bila kuwa na ndoto za kujenga japo wana uwezo, watu wenye maono ya kutumia ardhi kulima mihogo ya kujaanga, wakipata kikombe cha kahawa wamefanikiwa, ardhi wanaweka akilba ya kuuza kidogo kidogo apate fedha za kumtoa mwana ndani na kucheza singeli, hawezi kuwa na mawazo yoyote ya kufanya kitu chenye malengo makubwa ama ya muda mrefu. Mtu anayesafiri kwenda kubembea, hawezi kuwa na maono ya kununua.
Waatu hawa wakipataga fursa, kazi yao huwa ni kutumia vile watangulizi wao wamekusanya. Kwa kuwa hawana maono, hawawezi kufanya lolote la maana.

Watakuwa wanatamani wamtembelee Biden halafu ajiongeze AKAWAONJESHE HIYO NDEGE NDANI IKOJE NA AWAONJESHE KUKAA KWENYE SPACE, halafu wakirudi waseme, tulikkuwa tunafanya uchumi wa taifa.
 
Back
Top Bottom