Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio, zinatambulika kama ndege zisizokuwa na rubani bali mwongozaji.Hivi drone ni ndege pia?
Hili Kiduku Lilo akiliona atalinunua kabla huu mwaka haujaisha. |
TakbiiirIle tweet ya trump early morning kumbe aliimaanisha hii operation,daah this world,
Name someone a terrorist, assassinate him/her and his Family,the poor amd stupid people will praise with joy,daamn!
... labda wauze nchi ili wapate pesa za kuweka hiyo oda maana bei yake sina hakika kama "kasungura kadogo" katatosha hata kununua tairi lake.KUNA WATU WANAPENDA NDEGE HATARI, WAKISIKIA NA HII WATAWEKA ODA
nuclearHii ndege inatumia mechanism gani ya fuel/energy sikuzote hizo huko juu.?
Aakhaaa! Ni gutaHivi drone ni ndege pia?
Hela ya matundu ya vyoo mashuleni hawana, hii wataiweza kweli?KUNA WATU WANAPENDA NDEGE HATARI, WAKISIKIA NA HII WATAWEKA ODA
Watu wanaoishi nyumba za National Housing chumba na sebure familia nzima yenye wavujukuu bila kuwa na ndoto za kujenga japo wana uwezo, watu wenye maono ya kutumia ardhi kulima mihogo ya kujaanga, wakipata kikombe cha kahawa wamefanikiwa, ardhi wanaweka akilba ya kuuza kidogo kidogo apate fedha za kumtoa mwana ndani na kucheza singeli, hawezi kuwa na mawazo yoyote ya kufanya kitu chenye malengo makubwa ama ya muda mrefu. Mtu anayesafiri kwenda kubembea, hawezi kuwa na maono ya kununua.KUNA WATU WANAPENDA NDEGE HATARI, WAKISIKIA NA HII WATAWEKA ODA
FactEti usalama wa dunia. Nani kakudanganya? Wanatumia hela nyingi kuvuruga amani ya dunia kwa kigezo cha demokrasia.
HahaKUNA WATU WANAPENDA NDEGE HATARI, WAKISIKIA NA HII WATAWEKA ODA
KUNA WATU WANAPENDA NDEGE HATARI, WAKISIKIA NA HII WATAWEKA O