hapa ni wapi, kenye au nje ya KenyaAirstrip huko Jonglei.
Kama Uchumi wa Tanzania vile"..
Ndege yapaa na kuacha matairi uwanjani -Kenya"
View attachment 3066047View attachment 3066048View attachment 3066050
Agosti 9, 2024, Ndege aina ya
DHC-8-300 yenye usajili 5Y-SMI (Kenya) inayoendeshwa na Renegade Air kupitia WFP UNHAS, ilitengana na tairi zake kuu wakati wa kupaa kutoka Buny Airstrip huko Jonglei.
Licha ya hitilafu hiyo, ndege hiyo ilifanikiwa kutua kwa dharura katika Uwanja wa Ndege wa Malakal.
Abiria wote 35 na wafanyakazi walitoka salama, na hakuna ripoti ya majeruhi.
Uchunguzi bado unaendelea juu ya tukio hilo.
Taarifa ya;
Kenyanaviator
360aero
AviationTanzania
Halafu ni jana tu Brazil limewaua abiria wote, lazima alinena kwa lughaSipatii picha abiria aliye kuwepo dirishani na kuona tairi hamna
Pongezi kwa rubani 👏Halafu ni jana tu Brazil limewaua abiria wote, lazima alinena kwa lugha
Hatari sanaSipatii picha abiria aliye kuwepo dirishani na kuona tairi hamna
Nimeona ile clip ni simanziMungu ni mwema, Brazil huko jana watu wote 62 wamefariki ndege imeanguka kwenye nyumba za watu
Hatari sanaNdege nazo sasa zinaelekea kua usafiri wa mashaka tofauti na hapo awali.
Foul play all over it"..
Ndege yapaa na kuacha matairi uwanjani -Kenya"
View attachment 3066047View attachment 3066048View attachment 3066050
Agosti 9, 2024, Ndege aina ya
DHC-8-300 yenye usajili 5Y-SMI (Kenya) inayoendeshwa na Renegade Air kupitia WFP UNHAS, ilitengana na tairi zake kuu wakati wa kupaa kutoka Buny Airstrip huko Jonglei.
Licha ya hitilafu hiyo, ndege hiyo ilifanikiwa kutua kwa dharura katika Uwanja wa Ndege wa Malakal.
Abiria wote 35 na wafanyakazi walitoka salama, na hakuna ripoti ya majeruhi.
Uchunguzi bado unaendelea juu ya tukio hilo.
Taarifa ya;
Kenyanaviator
360aero
AviationTanzania
Sasa ukiwa na usafiri wa nje ya nchi utaenda na Ungo mkuu😀Usafiri wa ndege ni sawa na kufanya napenzi na kahaba bila kinga
Alafu wanasema usafiri wa anga ndio salama kushinda zoteUsafiri wa ndege ni sawa na kufanya napenzi na kahaba bila kinga