Ndege yapaa na kuacha chini matairi

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
301,577
Reaction score
754,412


Agosti 9, 2024, Ndege aina ya
DHC-8-300 yenye usajili 5Y-SMI (Kenya) inayoendeshwa na Renegade Air kupitia WFP UNHAS, ilitengana na tairi zake kuu wakati wa kupaa kutoka Buny Airstrip huko Jonglei.

Pia soma: Brazil: Ndege yanye abiria 62 yapata ajali mjini Sao Paulo, hakuna aliyenusurika

Licha ya hitilafu hiyo, ndege hiyo ilifanikiwa kutua kwa dharura katika Uwanja wa Ndege wa Malakal.


Abiria wote 35 na wafanyakazi walitoka salama, na hakuna ripoti ya majeruhi. Uchunguzi bado unaendelea juu ya tukio hilo.


Taarifa ya;
Kenyanaviator
360aero
AviationTanzania
 

Attachments

  • FB_IMG_1723285044388.jpg
    7.1 KB · Views: 8
Kama Uchumi wa Tanzania vile
 
Foul play all over it
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…