Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usafiri gani ni salama?Usafiri wa ndege ni sawa na kufanya napenzi na kahaba bila kinga
Kenyahapa ni wapi, kenye au nje ya Kenya
😂😂😂😂Kama Uchumi wa Tanzania vile
HahahahaaSipatii picha abiria aliye kuwepo dirishani na kuona tairi hamna
Lakini ndio usafiri salama zaidiNdio Mana sipendi kabisa Ndege
Ni hatari mnooo
..
Ndo nafikiria inawezekanaje hilo kwa tairi zote .kama ni moja sawa ile kwa zote tatu do nimoujaza kwa kweliHatari sana
Yaani ndege imeacha tairi zote chini 😳
Kenya kwa hujuma hawajanbo, inakuwaje seti zote mbili mbele na nyuma zinyofoke kwa mpigo? Nani maarufu alikuwemo humoAgosti 9, 2024, Ndege aina ya
DHC-8-300 yenye usajili 5Y-SMI (Kenya) inayoendeshwa na Renegade Air kupitia WFP UNHAS, ilitengana na tairi zake kuu wakati wa kupaa kutoka Buny Airstrip huko Jonglei.
Licha ya hitilafu hiyo, ndege hiyo ilifanikiwa kutua kwa dharura katika Uwanja wa Ndege wa Malakal.
Abiria wote 35 na wafanyakazi walitoka salama, na hakuna ripoti ya majeruhi.
Uchunguzi bado unaendelea juu ya tukio hilo.
Nandio ukweli usafiri wa anga ndio usafiri salama kuliko zoteAlafu wanasema usafiri wa anga ndio salama kushinda zote
Labda sema kingine lakini siyo kwamba hazina maintenance, SOP za UN kwenye maswala ya security ni za hali ya juu kuzidi hata za serikali! Kwa hilo serikali wakasome!Hakuna Maintenance ya kutosha kwasababu hizi Ndege za WFP na UNHCR huwa ziko Bize sana huko South Sudan.
Ninalwambia hivyo kwasababu hata mimi nisipobadilisha Wheel bearings au nidipozipa Lubrication huwa zinafeli nimefanya kazi na WFP sana ni Watu wa kawaida sana sembuse huko Jonglei South Sudan.Labda sema kingine lakini siyo kwamba hazina maintenance, SOP za UN kwenye maswala ya security ni za hali ya juu kuzidi hata za serikali! Kwa hilo serikali wakasome!
Sasa Ulaya utqpanda Shabiby?.....Uzipende tu.Ndio Mana sipendi kabisa Ndege
Ni hatari mnooo
..
Kenyahapa ni wapi, kenye au nje ya Kenya
😂😂😂😂Kama Uchumi wa Tanzania vile
HahahahaaSipatii picha abiria aliye kuwepo dirishani na kuona tairi hamna
Lakini ndio usafiri salama zaidiNdio Mana sipendi kabisa Ndege
Ni hatari mnooo
..
😂😂😂Sasa Ulaya utqpanda Shabiby?.....Uzipende tu.
Huko "kusali mda wote" ndio wasiwasi wenyewe! Kama katika situations nyingine hufanyi hivyo, why katika mazingira hayo?Usafiri wa ndege ni mtam sana sema muda wote ninapokuwa ndani ya ndege huwa naiona kaam jeneza na wote tuliomo ni marehemu mda wote. Huwa sina wasiwasi ila huwa nasali mda wote.