inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Kwa kulinganisha idadi ya safari kwa ajaliAlafu wanasema usafiri wa anga ndio salama kushinda zote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa kulinganisha idadi ya safari kwa ajaliAlafu wanasema usafiri wa anga ndio salama kushinda zote
Ajali za treni ni kama hamna kabisaKwa kulinganisha idadi ya safari kwa ajali
Route za treni zinalingana kwa idadi na za ndege duniani!?..huko India ajali za train kila mwakaAjali za treni ni kama hamna kabisa
Usalama wa usafiri auhusiani na idadi ya routeRoute za treni zinalingana kwa idadi na za ndege duniani!?..huko India ajali za train kila mwaka
Mwenyezi Mungu awape wepesiView attachment 3066047
Agosti 9, 2024, Ndege aina ya
DHC-8-300 yenye usajili 5Y-SMI (Kenya) inayoendeshwa na Renegade Air kupitia WFP UNHAS, ilitengana na tairi zake kuu wakati wa kupaa kutoka Buny Airstrip huko Jonglei.
Pia soma: Brazil: Ndege yanye abiria 62 yapata ajali mjini Sao Paulo, hakuna aliyenusurika
Licha ya hitilafu hiyo, ndege hiyo ilifanikiwa kutua kwa dharura katika Uwanja wa Ndege wa Malakal.
Abiria wote 35 na wafanyakazi walitoka salama, na hakuna ripoti ya majeruhi. Uchunguzi bado unaendelea juu ya tukio hilo.
Taarifa ya;
Kenyanaviator
360aero
AviationTanzania
Maana ni ratio,ajali per routes,kuna routes ngapi per day za ndege na ajali ni ngapi?Usalama wa usafiri auhusiani na idadi ya route
Maana ni ratio,ajali per routes,kuna routes ngapi per day za ndege na ajali ni ngapi?
Mbona unachanganya habari mbili kwa wakati mmoja mkuu? Kuwa makini na vyanzo vyako coz ajari ya Brazil abiria na wavanyakazi wote 61 wamefariki na hii ya ndege kuacha matairi chini ni ndege nyingine tofauti ambayo haikuwa na madhara makubwaView attachment 3066047
Agosti 9, 2024, Ndege aina ya
DHC-8-300 yenye usajili 5Y-SMI (Kenya) inayoendeshwa na Renegade Air kupitia WFP UNHAS, ilitengana na tairi zake kuu wakati wa kupaa kutoka Buny Airstrip huko Jonglei.
Pia soma: Brazil: Ndege yanye abiria 62 yapata ajali mjini Sao Paulo, hakuna aliyenusurika
Licha ya hitilafu hiyo, ndege hiyo ilifanikiwa kutua kwa dharura katika Uwanja wa Ndege wa Malakal.
Abiria wote 35 na wafanyakazi walitoka salama, na hakuna ripoti ya majeruhi. Uchunguzi bado unaendelea juu ya tukio hilo.
Taarifa ya;
Kenyanaviator
360aero
AviationTanzania
Me nikipandaga ndege huwa nahakikisha parachute yangu Iko pembeni kwa zaruraView attachment 3066047
Agosti 9, 2024, Ndege aina ya
DHC-8-300 yenye usajili 5Y-SMI (Kenya) inayoendeshwa na Renegade Air kupitia WFP UNHAS, ilitengana na tairi zake kuu wakati wa kupaa kutoka Buny Airstrip huko Jonglei.
Pia soma: Brazil: Ndege yanye abiria 62 yapata ajali mjini Sao Paulo, hakuna aliyenusurika
Licha ya hitilafu hiyo, ndege hiyo ilifanikiwa kutua kwa dharura katika Uwanja wa Ndege wa Malakal.
Abiria wote 35 na wafanyakazi walitoka salama, na hakuna ripoti ya majeruhi. Uchunguzi bado unaendelea juu ya tukio hilo.
Taarifa ya;
Kenyanaviator
360aero
AviationTanzania
Kenyahapa ni wapi, kenye au nje ya Kenya
😂😂😂😂Kama Uchumi wa Tanzania vile
HahahahaaSipatii picha abiria aliye kuwepo dirishani na kuona tairi hamna
Lakini ndio usafiri salama zaidiNdio Mana sipendi kabisa Ndege
Ni hatari mnooo
..
😂😂😂Sasa Ulaya utqpanda Shabiby?.....Uzipende tu.
WamesalimikaMwenyezi Mungu awape wepesi
Kenyahapa ni wapi, kenye au nje ya Kenya
😂😂😂😂Kama Uchumi wa Tanzania vile
HahahahaaSipatii picha abiria aliye kuwepo dirishani na kuona tairi hamna
Lakini ndio usafiri salama zaidiNdio Mana sipendi kabisa Ndege
Ni hatari mnooo
..
😂😂😂Sasa Ulaya utqpanda Shabiby?.....Uzipende tu.
Hiyo ya Brazil imewekwa na moderator.. Yanapotokea matukio ya kufanana kwa wakati mmoja .. Huongezwa kwenye mada mojawapo kwa caption ya 'Pia soma. .'Mbona unachanganya habari mbili kwa wakati mmoja mkuu? Kuwa makini na vyanzo vyako coz ajari ya Brazil abiria na wavanyakazi wote 61 wamefariki na hii ya ndege kuacha matairi chini ni ndege nyingine tofauti ambayo haikuwa na madhara makubwa
Kenyahapa ni wapi, kenye au nje ya Kenya
😂😂😂😂Kama Uchumi wa Tanzania vile
HahahahaaSipatii picha abiria aliye kuwepo dirishani na kuona tairi hamna
Lakini ndio usafiri salama zaidiNdio Mana sipendi kabisa Ndege
Ni hatari mnooo
..
😂😂😂Sasa Ulaya utqpanda Shabiby?.....Uzipende tu.
Hiyo ya Brazil imewekwa na moderator.. Yanapotokea matukio ya kufanana kwa wakati mmoja .. Huongezwa kwenye mada mojawapo kwa caption ya 'Pia soma. .'Mbona unachanganya habari mbili kwa wakati mmoja mkuu? Kuwa makini na vyanzo vyako coz ajari ya Brazil abiria na wavanyakazi wote 61 wamefariki na hii ya ndege kuacha matairi chini ni ndege nyingine tofauti ambayo haikuwa na madhara makubwa
Watumieni ambulance ya ungo wa babuView attachment 3066047
Agosti 9, 2024, Ndege aina ya
DHC-8-300 yenye usajili 5Y-SMI (Kenya) inayoendeshwa na Renegade Air kupitia WFP UNHAS, ilitengana na tairi zake kuu wakati wa kupaa kutoka Buny Airstrip huko Jonglei.
Pia soma: Brazil: Ndege yanye abiria 62 yapata ajali mjini Sao Paulo, hakuna aliyenusurika
Licha ya hitilafu hiyo, ndege hiyo ilifanikiwa kutua kwa dharura katika Uwanja wa Ndege wa Malakal.
Abiria wote 35 na wafanyakazi walitoka salama, na hakuna ripoti ya majeruhi. Uchunguzi bado unaendelea juu ya tukio hilo.
Taarifa ya;
Kenyanaviator
360aero
AviationTanz
Kwa mimi usafiri wa reli ndio naona kuwa usafiri salama zaidi kuliko usafiri wowote.Nandio ukweli usafiri wa anga ndio usafiri salama kuliko zote
Ndege hua hazianguki mara kwa mara ila siku ikianguka ujue kupona hata mtu shughuli
Sidhanii kama duniani inapita siku tusishuhudie ajali kadha wa kadha ila za ama ya ndege hua zakutafuta tafuta sanaa
Kama kusingekua na mabara kama afrika na asia yenye usafiri mbovu wa baharini (majini)
Nadhani usafiri wa majini ndio ungekua salama kuliko