Ndege yapaa na kuacha chini matairi

Mwenyezi Mungu awape wepesi
 
Mbona unachanganya habari mbili kwa wakati mmoja mkuu? Kuwa makini na vyanzo vyako coz ajari ya Brazil abiria na wavanyakazi wote 61 wamefariki na hii ya ndege kuacha matairi chini ni ndege nyingine tofauti ambayo haikuwa na madhara makubwa
 
Me n
Me nikipandaga ndege huwa nahakikisha parachute yangu Iko pembeni kwa zarura
 
hapa ni wapi, kenye au nje ya Kenya
Kenya
Kama Uchumi wa Tanzania vile
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Sipatii picha abiria aliye kuwepo dirishani na kuona tairi hamna
Hahahahaa
Ndio Mana sipendi kabisa Ndege

Ni hatari mnooo
..
Lakini ndio usafiri salama zaidi
Sasa Ulaya utqpanda Shabiby?.....Uzipende tu.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Mwenyezi Mungu awape wepesi
Wamesalimika
 
hapa ni wapi, kenye au nje ya Kenya
Kenya
Kama Uchumi wa Tanzania vile
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Sipatii picha abiria aliye kuwepo dirishani na kuona tairi hamna
Hahahahaa
Ndio Mana sipendi kabisa Ndege

Ni hatari mnooo
..
Lakini ndio usafiri salama zaidi
Sasa Ulaya utqpanda Shabiby?.....Uzipende tu.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Mbona unachanganya habari mbili kwa wakati mmoja mkuu? Kuwa makini na vyanzo vyako coz ajari ya Brazil abiria na wavanyakazi wote 61 wamefariki na hii ya ndege kuacha matairi chini ni ndege nyingine tofauti ambayo haikuwa na madhara makubwa
Hiyo ya Brazil imewekwa na moderator.. Yanapotokea matukio ya kufanana kwa wakati mmoja .. Huongezwa kwenye mada mojawapo kwa caption ya 'Pia soma. .'
 
hapa ni wapi, kenye au nje ya Kenya
Kenya
Kama Uchumi wa Tanzania vile
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Sipatii picha abiria aliye kuwepo dirishani na kuona tairi hamna
Hahahahaa
Ndio Mana sipendi kabisa Ndege

Ni hatari mnooo
..
Lakini ndio usafiri salama zaidi
Sasa Ulaya utqpanda Shabiby?.....Uzipende tu.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Mbona unachanganya habari mbili kwa wakati mmoja mkuu? Kuwa makini na vyanzo vyako coz ajari ya Brazil abiria na wavanyakazi wote 61 wamefariki na hii ya ndege kuacha matairi chini ni ndege nyingine tofauti ambayo haikuwa na madhara makubwa
Hiyo ya Brazil imewekwa na moderator.. Yanapotokea matukio ya kufanana kwa wakati mmoja .. Huongezwa kwenye mada mojawapo kwa caption ya 'Pia soma. .'
 
Watumieni ambulance ya ungo wa babu
 
Kwa mimi usafiri wa reli ndio naona kuwa usafiri salama zaidi kuliko usafiri wowote.
Maana hata ajali ya treni ikitokea inategemea na ajali ya aina gani ndio madhara hupimiwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…