Bhaghosha
JF-Expert Member
- Oct 30, 2010
- 234
- 183
- Thread starter
- #21
Hiyo kahawa ya kwenye kijiwe ndiyo kahawa ndugu. Sasa ya kwenye kijiwe ni proper, unapanda kwenye ndege umelipa malaki unaletewa maji ya kahawa. Huu uzembe ni mkubwa sana.Kahawa ya kijiwe cha mchikichini inatosha. Unapanda ndege bei kubwa alafu una-mind kahawa ya shilingi 20 kikombe!