KateMiddleton
JF-Expert Member
- Mar 15, 2021
- 3,883
- 4,676
Emirates kwa TZ ni Dar-DubaiHiyo ndo yenyewe Atcl tunaishia korosho na beer Tu,VIP gharama hiyo Emirates DSM-Kia?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Emirates kwa TZ ni Dar-DubaiHiyo ndo yenyewe Atcl tunaishia korosho na beer Tu,VIP gharama hiyo Emirates DSM-Kia?
Nimepanda sana. But ni muda sasa tangu ATCL iwe vizuri.Uliwahi panda precision air? Huduma zao zinatofauti gani?
Na korosho je,hakuna bites nyingine hata pipi hawanaKwa wasafiri wa ndege zetu za ATC, hivi mmeshawahi kuhudumiwa kinywaji cha kahawa? ni kitu cha ajabu sana kiwango cha ubora wake ni cha chini kabisa. Yaani wanahudumia chai ya kahawa au kahawa ya rangi.
Kwa kuwa Tanzania inalima na kuzalisha kahawa ya kutumia, basi shirika letu lingetumia pia kuitangaza kahawa kwa kuhudumia kahawa kwa kiwango cha kimataifa na siyo kahawa ya rangi.
😀😀😀😀ATC ni wajinga sana,wanatoa beer moja ukimaliza ukiuliza ya pili wanakimbia kujificha huko nyuma mimi sipandi ndege njaa.
Siku moja natoka KIA kwenda DAR na hizi pangaboi yaani masikio yanauma utafikiri umepigwa ngumi halafu sijui rubani alikuwa mwanafunzi yaani ndege ilisota wakati wa kutua abiria jasho lilitutoka.