Ndege za kivita za IDF zatanda anga la mji Mkuu wa Lebanon Beirut, taharuki kubwa yatanda

Hawakutegemea; hiyo ni surprise. From nowhere madege ya kivita yametanda mji mzima bila resistance means mko "uchi".

Kwa vurugu hizo kuna mimba za kutosha zitaporomoka hapo Beirut isichukuliwe poa. Ni mbaya sana.
 
Kuithibitishia Hezibollah kuwa wanaweza kupenya anga yao na kushambulia bila kizuizu cho chote!
 
Hawakutegemea; hiyo ni surprise. From nowhere madege ya kivita yametanda mji mzima bila resistance means mko "uchi".

Kwa vurugu hizo kuna mimba za kutosha zitaporomoka hapo Beirut isichukuliwe poa. Ni mbaya sana.
Mmmmh! Si wako vitani dhidi ya IDF lakini?au wamesahau? Halafu inashangaza huku ni vita inaendelea lakini wengine wanaendelea kudinyana hadi mimba zinapatikana. Ndo mana huyo mungu wao allah alijua udhaifu wao huo na akaona njia nyepesi ya kuwapata kirahisi ni kuwaahidi mabikra 72 na mito ya pombe.
 
Hizi taarifa mmezitoa wapi? Wekeni link 🔗
 
IDF wana-simulate ile habari ya "wakoma" kuvamia kambi ya Washami.
 
IDF wana-simulate ile habari ya "wakoma" kuvamia kambi ya Washami.
Hizo issues za simulations wengi hawajazistukia. Hindustan nao wameweka live simulation kkuwa Tel Abiv ipo under attack, huwezi kuamini wasrabu wamebanana huko wanashangilia kichizi wengine wakirusha makobazi wakijua lile ni tukio live kumbe ni simulation tu
 
Akina Kosugi wanashangilia Hezibolla kupiga na kusambaza picha za kambi za IDF! Wanajua kuna vitu kama honey pots and the like?
 
Ngojea Hizbollah ajibu halafu muanze kulalama.
2006 IDF walianza hivi hivi,at the end wanajua kilichowakuta.
 
Mijitu haisikii, na hii dunia tungeishi kwa tabu sana kama wababe hawa (US na ISARAEL) Wasingekuwepo!!
Kweli kabisa. Hawa kobazi wangetunyanyasa sana wakiamini wakikuua ww kafir wanapata thawabu ila wakifa wao wanapata tuzo yeya thamani kubwa - mabikra 72 na mito ya pombe. Ila napo hapo hawajaweza kujua kama waweza kuvibadilisha vitu hivyo huko huko viwe katika mfumo wa pesa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…