Hivi majuzi Kenya walionekana wakisafirisha mbogamboga na matunda kuelekea kwenye masoko ya Ulaya kwa kubadili matumizi ya ndege za aboria kuweza kubeba mizigo kufuatia upungufu wa abiria.
Hatua ya kupata masoko hayo imekuja baada ya mataifa mengi kusimamisha shughuli kufuatia mlipuko wa ugonjwa wa Corona COVID-19.
Hapa nyumbani napo hatukubaki nyuma baada ya Naibu waziri Hussein Bashe kupost picha ya Waziri Wa Kilimo Japhet Hasunga akiwa kwenye ndege akipakia mizigo. Na tani 37 za mazao zikisafirishwa kwenga Ubeligiji.
Jana shirika la ndege la Ethiopia limeweka taarifa ya kupata tenda ya kusafirisha mazao kutoka Tanzania kuelekea nchi za Ulaya.
Swali la msingi ni je ndege zetu tulizogharamikia mabillioni ya shilingi ziko wapi?
Ni mbovu? Hazina vibali? Au ni kukosa maarifa kwa viongozi?
Je, huu sio wakati muafaka wa ndege zetu kufanya kazi ya kuitambulisha nchi katika safari za anga?
Waliokuwa wanapinga mradi wa ndege je serikali inachochote cha kujitetea baada ya aibu hii?
Sent from my iPhone using JamiiForums
Hatua ya kupata masoko hayo imekuja baada ya mataifa mengi kusimamisha shughuli kufuatia mlipuko wa ugonjwa wa Corona COVID-19.
Hapa nyumbani napo hatukubaki nyuma baada ya Naibu waziri Hussein Bashe kupost picha ya Waziri Wa Kilimo Japhet Hasunga akiwa kwenye ndege akipakia mizigo. Na tani 37 za mazao zikisafirishwa kwenga Ubeligiji.
Jana shirika la ndege la Ethiopia limeweka taarifa ya kupata tenda ya kusafirisha mazao kutoka Tanzania kuelekea nchi za Ulaya.
Swali la msingi ni je ndege zetu tulizogharamikia mabillioni ya shilingi ziko wapi?
Ni mbovu? Hazina vibali? Au ni kukosa maarifa kwa viongozi?
Je, huu sio wakati muafaka wa ndege zetu kufanya kazi ya kuitambulisha nchi katika safari za anga?
Waliokuwa wanapinga mradi wa ndege je serikali inachochote cha kujitetea baada ya aibu hii?
Sent from my iPhone using JamiiForums