Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Thamani ya ndege moja aina ya Skyleader 600 ambayo imetengenezwa nchini Tanzania, imetajwa kuwa ni zaidi ya Dola za kimarekani 220,000 sawa na shilingi milioni 500 za Kitanzania.
Gharama Thamani ya ndege moja aina ya Skyleader 600 ambayo imetengenezwa nchini Tanzania, imetajwa kuwa ni zaidi ya Dola za kimarekani 220,000 sawa na shilingi milioni 500 za Kitanzania,
Bei inayolinganishwa na gari zenye gharama kubwa zaidi kama vile V8 land cruiser, defender na Range rover.
Afisa Mawasiliano kwa umma katika kampuni ya utengenezaji wa ndege hizo ya Airplanes Africa Limited, Bw. Freddie Monento ametoa ufafanuzi huo katika kipindi cha "Wekeza Tanzania" ambapo ameweka wazi kuwa kwa sasa ndege hizo zinavibali na zimethibitishwa kuruka.
Gharama Thamani ya ndege moja aina ya Skyleader 600 ambayo imetengenezwa nchini Tanzania, imetajwa kuwa ni zaidi ya Dola za kimarekani 220,000 sawa na shilingi milioni 500 za Kitanzania,
Bei inayolinganishwa na gari zenye gharama kubwa zaidi kama vile V8 land cruiser, defender na Range rover.
Afisa Mawasiliano kwa umma katika kampuni ya utengenezaji wa ndege hizo ya Airplanes Africa Limited, Bw. Freddie Monento ametoa ufafanuzi huo katika kipindi cha "Wekeza Tanzania" ambapo ameweka wazi kuwa kwa sasa ndege hizo zinavibali na zimethibitishwa kuruka.