Ndege zilizotengenezwa Tanzania, zinauzwa milioni 500, Kwa bei hii wewe tu 'Upae au daladala'

Ndege zilizotengenezwa Tanzania, zinauzwa milioni 500, Kwa bei hii wewe tu 'Upae au daladala'

Thamani ya ndege moja aina ya Skyleader 600 ambayo imetengenezwa nchini Tanzania, imetajwa kuwa ni zaidi ya Dola za kimarekani 220,000 sawa na shilingi milioni 500 za Kitanzania.

Gharama Thamani ya ndege moja aina ya Skyleader 600 ambayo imetengenezwa nchini Tanzania, imetajwa kuwa ni zaidi ya Dola za kimarekani 220,000 sawa na shilingi milioni 500 za Kitanzania,

Bei inayolinganishwa na gari zenye gharama kubwa zaidi kama vile V8 land cruiser, defender na Range rover.

Afisa Mawasiliano kwa umma katika kampuni ya utengenezaji wa ndege hizo ya Airplanes Africa Limited, Bw. Freddie Monento ametoa ufafanuzi huo katika kipindi cha "Wekeza Tanzania" ambapo ameweka wazi kuwa kwa sasa ndege hizo zinavibali na zimethibitishwa kuruka.
View attachment 3218902
Mbona hamuonyeshi zikiruka na kutua huenda watu wanaogopa kununua zikaishia maegesho
 
Thamani ya ndege moja aina ya Skyleader 600 ambayo imetengenezwa nchini Tanzania, imetajwa kuwa ni zaidi ya Dola za kimarekani 220,000 sawa na shilingi milioni 500 za Kitanzania.

Gharama Thamani ya ndege moja aina ya Skyleader 600 ambayo imetengenezwa nchini Tanzania, imetajwa kuwa ni zaidi ya Dola za kimarekani 220,000 sawa na shilingi milioni 500 za Kitanzania,

Bei inayolinganishwa na gari zenye gharama kubwa zaidi kama vile V8 land cruiser, defender na Range rover.

Afisa Mawasiliano kwa umma katika kampuni ya utengenezaji wa ndege hizo ya Airplanes Africa Limited, Bw. Freddie Monento ametoa ufafanuzi huo katika kipindi cha "Wekeza Tanzania" ambapo ameweka wazi kuwa kwa sasa ndege hizo zinavibali na zimethibitishwa kuruka.
View attachment 3218902


Ndege zao zinapakia watu wangapi
 
Kavisti tu majirani wanakuroga hii ndege si ndio jeneza lako litakuwa kwa jinsi watakavyo zidi kukuroga🤣🤣
 
Thamani ya ndege moja aina ya Skyleader 600 ambayo imetengenezwa nchini Tanzania, imetajwa kuwa ni zaidi ya Dola za kimarekani 220,000 sawa na shilingi milioni 500 za Kitanzania.

Gharama Thamani ya ndege moja aina ya Skyleader 600 ambayo imetengenezwa nchini Tanzania, imetajwa kuwa ni zaidi ya Dola za kimarekani 220,000 sawa na shilingi milioni 500 za Kitanzania,

Bei inayolinganishwa na gari zenye gharama kubwa zaidi kama vile V8 land cruiser, defender na Range rover.

Afisa Mawasiliano kwa umma katika kampuni ya utengenezaji wa ndege hizo ya Airplanes Africa Limited, Bw. Freddie Monento ametoa ufafanuzi huo katika kipindi cha "Wekeza Tanzania" ambapo ameweka wazi kuwa kwa sasa ndege hizo zinavibali na zimethibitishwa kuruka.
View attachment 3218902
Acheni kudanganya umma. Zinatengenezwa au kuundwa Tanzania? Nazo hizo ni ndege au tiara tu?
 
Hizo ni glider zenye engine, ikiwekewa engine inaitwa motor glider, hakuna ndege hapo, kuna glider hazina engine zinaruka na mabawa pekee, na inaweza beba hadi watu wawili au mmoja na inaruka.

hq720.jpg


Wenyewe wanazichukua na kuongeza engine.


gliding-main.jpg.optimal.jpg




Tanzania hawana uwezo tengeneza ndege, hio ni glider iliyochangamka, na hizi glider zipo hadi zinatengenezwa na karatasi.
 
Thamani ya ndege moja aina ya Skyleader 600 ambayo imetengenezwa nchini Tanzania, imetajwa kuwa ni zaidi ya Dola za kimarekani 220,000 sawa na shilingi milioni 500 za Kitanzania.

Gharama Thamani ya ndege moja aina ya Skyleader 600 ambayo imetengenezwa nchini Tanzania, imetajwa kuwa ni zaidi ya Dola za kimarekani 220,000 sawa na shilingi milioni 500 za Kitanzania,

Bei inayolinganishwa na gari zenye gharama kubwa zaidi kama vile V8 land cruiser, defender na Range rover.

Afisa Mawasiliano kwa umma katika kampuni ya utengenezaji wa ndege hizo ya Airplanes Africa Limited, Bw. Freddie Monento ametoa ufafanuzi huo katika kipindi cha "Wekeza Tanzania" ambapo ameweka wazi kuwa kwa sasa ndege hizo zinavibali na zimethibitishwa kuruka.
View attachment 3218902
Ndege hazijawahi kuwa bei chee haijalishi zimetengenezwa wapi
 
Thamani ya ndege moja aina ya Skyleader 600 ambayo imetengenezwa nchini Tanzania, imetajwa kuwa ni zaidi ya Dola za kimarekani 220,000 sawa na shilingi milioni 500 za Kitanzania.

Gharama Thamani ya ndege moja aina ya Skyleader 600 ambayo imetengenezwa nchini Tanzania, imetajwa kuwa ni zaidi ya Dola za kimarekani 220,000 sawa na shilingi milioni 500 za Kitanzania,

Bei inayolinganishwa na gari zenye gharama kubwa zaidi kama vile V8 land cruiser, defender na Range rover.

Afisa Mawasiliano kwa umma katika kampuni ya utengenezaji wa ndege hizo ya Airplanes Africa Limited, Bw. Freddie Monento ametoa ufafanuzi huo katika kipindi cha "Wekeza Tanzania" ambapo ameweka wazi kuwa kwa sasa ndege hizo zinavibali na zimethibitishwa kuruka.
View attachment 3218902
Kwa wengine Bado ni ghali tuu hata mkate ni bei!
 
Thamani ya ndege moja aina ya Skyleader 600 ambayo imetengenezwa nchini Tanzania, imetajwa kuwa ni zaidi ya Dola za kimarekani 220,000 sawa na shilingi milioni 500 za Kitanzania.

Gharama Thamani ya ndege moja aina ya Skyleader 600 ambayo imetengenezwa nchini Tanzania, imetajwa kuwa ni zaidi ya Dola za kimarekani 220,000 sawa na shilingi milioni 500 za Kitanzania,

Bei inayolinganishwa na gari zenye gharama kubwa zaidi kama vile V8 land cruiser, defender na Range rover.

Afisa Mawasiliano kwa umma katika kampuni ya utengenezaji wa ndege hizo ya Airplanes Africa Limited, Bw. Freddie Monento ametoa ufafanuzi huo katika kipindi cha "Wekeza Tanzania" ambapo ameweka wazi kuwa kwa sasa ndege hizo zinavibali na zimethibitishwa kuruka.
View attachment 3218902
HiI zinawafaaa wabunge na mawaziri
 
Hii inaonesha elimu ya watanzania ni zero maana wameshindwa kutofautisha kati ya kutengenezea na kuunganisha vipande vilivyotengenezwa tayari
Si kweli, ingawa hatupo vizuri sana lakin ni mwanzo mzuri.

Angalia components za ndege mpya za China, C909, 919 na 929, alafu useme wametengeneza ama wameunganisha!

Hata makampuni makubwa kama Boeing na Airbus, hawatengenezi kila kitu wenyewe, engine zao tu karibu zote ni RR, achia components nyingine.
 
Mbongo ni mbongo tu. Hajui kujua wapi pakutia moyo na wap pakukosoa. Anaweza sifia miguu kuosha vyombo na kuiilaani ikitembea. Kifup hatueleweki tunataka nini
Bongo nyoso.

Mesoma comment
 
Badala tukisapoti hiko kiwanda cha ndege ili kizidi kukua ndo kwanza watu wanakikosoa kwakuwa kimetengrnezwa na mtanzania mwenzetu. Tupende vya kwetu.
 
Back
Top Bottom