ndammu
JF-Expert Member
- Apr 21, 2017
- 3,971
- 4,440
Wanampa sifa ambazo hana.Walisema Urusi wanayeyusha drones kwa bunduki maalum zokiwa huko huko angani kabla hazijaleta madhara. Vipi tena.
Sent from my SM-N9150 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanampa sifa ambazo hana.Walisema Urusi wanayeyusha drones kwa bunduki maalum zokiwa huko huko angani kabla hazijaleta madhara. Vipi tena.
Wakishafika Kherson mchezo umeishaAkiikomboa totally kherson, wanajeshi wake hawawezi kuwa na morali. Kwa sasa ukraine ina morali sababu imeona kuwa wapo karibu kuikomboa Kherson. Na wakifanikiwa hapo tu, wataamini hata huko kwingine watafanikiwa pia.
Ukraine lazima watataka lipizaYaani Ukraine anapiga Kherson, na muda huohuo anapiga Black Sea. Hapo bado US hajamimina kifurushi kingine. US apeleke MLRS za kushambulia kilomita 300, hapo Ukraine atakomboa maeneo yake faster tu.
Russia hakuwahi kusema ana wanajeshi wangapi, nchi nyingi sana duniani huwa hazitaji idadi ya wanajeshi. Watataja vifaru, ndege, meli ila sio idadi ya combatants. Possibility ya Russia kuwa na wanajeshi 800,000 siipingi kwa kuwa wana landmass kubwa inahitaji walinzi wengi. Changamoto ni kwamba wale recruits wa muda yawezekana nao huesabika kama wanajeshi wakati sio.Russia warudi tu nyumbani wameshindwa kutimiza malengo waliyojiwekea ya kuiteka Ukraine ndani ya siku tatu na badala yake kuingia katika vita visivyo na mwisho (War of Attrition).
Huko Russia kwenyewe tayari wameshaanza kuandikisha vijana wasio na ajira ili wapewe mafunzo ya haraka ili wapelekwe Ukraine na wanaambiwa kwamba kila mwezi watakuwa wanalipwa sawa na USD 5,000 na eti ukifa familia yako italipwa USD 50,000..!!
Mbona tunaambiwa kwamba Russia wana wanajeshi kwenye 800,000 hivi.! Hizi takwimu za majeshi inaonekana kila nchi waga hawasemi ukweli kwani ni za kubumba sana.
Inaonekana hapa duniani hakuna nchi yoyote yenye idadi kubwa hivyo ya majeshi kwani wakati hakuna vita watakuwa wanafanya kazi gani ndio maana Russia sasa hivi wanafanya tena recruitment.
Acha uongo hakuna jimbo lolote lililokombolewaKharkiv ilishakombolewa kitambo tu.
Yaani upate sifa zaidi ya dikteta udumu? Weee! Haipo hiyo; hayo majitu husifiwa zaidi ya Mungu kwenye himaya zao na huvimba kweli kweli yakijiaminisha ni zaidi ya muumba mbingu na ardhi!Russia hakuwahi kusema ana wanajeshi wangapi, nchi nyingi sana duniani huwa hazitaji idadi ya wanajeshi. Watataja vifaru, ndege, meli ila sio idadi ya combatants. Possibility ya Russia kuwa na wanajeshi 800,000 siipingi kwa kuwa wana landmass kubwa inahitaji walinzi wengi. Changamoto ni kwamba wale recruits wa muda yawezekana nao huesabika kama wanajeshi wakati sio.
Na haiwezekani Russia ikafanya mobilization ya wanajeshi wote kwa sababu kisiasa hii sio vita, kwao kule wanaita operation. Vita hutangazwa na Commander in Chief kwa declaration ila Putin anaogopa consequences za kutangaza vita. Kihistoria mabadiliko ya kisiasa Urusi hutokea baada ya vita fulani kuisha, Putin hataki hivyo na anakwepa lawama fulani.
Putin hapendi kukuza sifa za makamanda wake kijeshi ndio maana hata operation hii ilianza ikiwa haijulikani General gani anaongoza mpaka pale failures zilipoonekana ndipo ikaundwa kama central command, central command ingekuwepo mapema alafu Ukraine ikaanguka mapema vile basi makamanda wachache hapo wangesifiwa sana wakati sanctions zinakuja haijulikani zitaleta mgogoro gani nchini. Mfano, after WW2 yule Georgy Zukhov alikuwa tishio kwa utawala wa Stalin ambaye pamoja na kuwaua watu wenye sifa nchini kwake alishindwa kumpoteza Zukhov jeshi lisimuasi. Russia huwa haipati mtu mwenye sifa akadumu
Heri madikteta kuliko mashoga alafu Putin sio diktetaYaani upate sifa zaidi ya dikteta udumu? Weee! Haipo hiyo; hayo majitu husifiwa zaidi ya Mungu kwenye himaya zao na huvimba kweli kweli yakijiaminisha ni zaidi ya muumba mbingu na ardhi!
Kwanini?Heri madikteta kuliko mashoga alafu Putin sio dikteta
Ni kujidhalilisha na kumtukana Mungu.Kwanini?
Hawana uwezo wa kuyarejeshaHivi Majimbo yaliyochukuliwa na Russia wameisha yarudisha
Putin mwenyewe shoga. Unasemaje?Ni kujidhalilisha na kumtukana Mungu.
Acha upotoshaji hawana uwezo wa kurejesha sehemu yoyote.Kharkiv ilishakombolewa kitambo tu.
Ilinipita hiyo habarNimeyakumbuka yale maneno ya Ayatollah kuwa hata kama Urusi isingeanzisha vita NATO wangeanzisha
RUSSIA TAIFA TEULEWatawachukua mamluki wa jf Bwana Utam na STRUGGLE MAN .
Fikiria unakuwa na Taifa lenye vijana wana mawazo ya kipuuzi namna hiyo leo na kesho anakuwa kiongozi si mapema tu ana comply na mwenye nguvu bila resistance yoyote?Huwa nawasomaga humu naishia kucheka tu. Jukumu #1 la kiongozi Mkuu wa nchi ni ulinzi wa ardhi na mipaka ya nchi.
Na katiba za nchi kama sio zote nyingi hazitoi provision ya ku-surrender vitani. Hata ya Tanzania haimpi nafasi Amiri Jeshi Mkuu ku-surrender nchi kwa namna yoyote ile sembuse Ukraine inayolisha dunia kwa ngano na nafaka nyinginezo!
Shoga kama shehe Muhsin.Heri madikteta kuliko mashoga alafu Putin sio dikteta