Nyimbo mbovu kabisa
Mtoto wa mama richad kaachia ngoma mpya inayokwenda kwa jina la ngedele hii ngoma ni sumu moja mbay sana
Ninachojiuliza kwanin mavoko hapo awali hakuwahi kutoa ngoma kali kama hii why soo
London boy
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hiyo nyimbo na ule alotoa unaitwa "Happy" upi mkali.....kwa upande wangu Happy upo poa zaidi
Mtoto wa mama richad kaachia ngoma mpya inayokwenda kwa jina la ngedele hii ngoma ni sumu moja mbay sana
Ninachojiuliza kwanin mavoko hapo awali hakuwahi kutoa ngoma kali kama hii why soo
London boy
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanini mkuu kwani kula had umkubal mavoko au umponde?Mavoko ni anko ako?
#utakula kiburi yako.