Vibarua hawatakunya chochote wewe bosi kwakuwa kupewa maji hayakuwa sehemu ya makubaliano ya kazi, lakini watamzulia jambo mwenzao huyo aliyepewa maji from no where, kibaraka wake, kapoteza marinda, ni ndugu yake, ni mgonjwa, ni shemeji yake, ni baba yake wa kambo, n.k. na kamwe hawatakubali kama yeye ndiye aliyelima zaidi kuliko wao.Hao wafanyakazi watakuwa punguani sana.
1.mshahara wao nimewalipa sijawalipa?
2. je tulikubaliana kuwa jioni kila mtu nimpe maji ya kunywa?
3. huoni kuwa watakuwa wapumbavu wanataka kunipangia matumizi ya mali zangu?
Vibarua hawatakunya chochote wewe bosi kwakuwa kupewa maji hayakuwa sehemu ya makubaliano ya kazi, lakini watamzulia jambo mwenzao huyo aliyepewa maji from no where, kibaraka wake, kapoteza marinda, ni ndugu yake, ni mgonjwa, ni shemeji yake, ni baba yake wa kambo, n.k. na kamwe hawatakubali kama yeye ndiye aliyelima zaidi kuliko wao.
Zawadi kama hiyo kwa watoto/wachezaji inaweza kutolewa na mtu mwingine lakini sio baba/kiongozi wa familia/club. Tuishie hapo uwezo wako wa kutafakari uko chini sana.zawadi ametoa mtu kwa mapenzi binafsi kwa nini umpangie vigezo? ni sawa na mfano huu. mimi na wewe tunatafuta kazi ya kulima. wewe ukaenda ukapata mkakubaliana na mwenye shamba kuwa utalima kuanzia saa 12 asubuhi mpaka 10 jioni kwa tsh 500. mkakubaliana ukaanza kazi. nami kufika saa 8 mchana nikaja hapo shambani kuomba kazi mwenye shamba akanikubalia.nikapewa sehemu yangu nikalima mpaka saa 10. mwenye shamba akakuita akakupa tsh 500 yako. nami akaniita hapo hapo akanipa 500. then wewe uanze kulalamika kuwa ni uonevu wewe umelima toka saa 12 mpaka saa 10 kakupa 500 na mimi nimeanza kulima toka saa 8 mpaka saa 10 hiyo hiyo kanipa 500. utakuwa huna akili.mwenye shamba ana uhuru wa kumpa mtu yeyote kiasi anachotaka.
kiongozi aliyetoa gari kwa ndemla ametoa yeye kama yeye kwa utashi wake.ana uhuru wa kumpa mtu yeyote kwa sabab zake. angeweza hata kumpa hiyo zawadi mchezaj ambaye hajawah kucheza mechi hata moja na bado kama una akili usimlamu kuwa hiyo itasababisha na wengine wasitake kucheza sababu mwenzao hachezi na kapewa zawadi ya gari. swali je kiongozi huyo hiyo gari katoa kama zawadi ya klabu au katoa kama yeye binafsi? haya mambo yanahitaji akili ndogo tu kuyaelewa wala si kubwa sana.mimi katika jambo hili natumia tu akili ya darasa la pili. hata ya darasa la tatu situmii kulijadili.