Nderagije anatuhujumu

Nderagije anatuhujumu

Affet

JF-Expert Member
Joined
Jul 8, 2018
Posts
1,189
Reaction score
1,672
Tangu mpira unaanza mashambulizi yote yanapitia upande wa kulia Haruna Shamte kachoka tangu dk ya kwanza hawezi kabisa hii game kwenye benchi kuna Kessy hataki kumuingiza hii mikocha ya kigeni sio muda wote matola tu ndie anahaha kusimama yy katulia tu!
 
Kwanini matola hakushauriana na ndera nani sijui ili wampe nafasi mchezaji mwingine?

Kwanni tusiseme matola nae sio mzalendo? Au kwanni tusiwape nafasi ya kuwa sikiliza?
 
Tangu mpira unaanza mashambulizi yote yanapitia upande wa kulia Haruna Shamte kachoka tangu dk ya kwanza hawezi kabisa hii game kwenye benchi kuna Kessy hataki kumuingiza hii mikocha ya kigeni sio muda wote matola tu ndie anahaha kusimama yy katulia tu!
Sijaelewa shamte kuandelea kucheza, Kwanza kacheza upande wa kulia wakati inaonekana hawez kutumia mguu wa kulia, Pili sijamwelewamwalimu mchezaji shamte amepata mipira mingi ya kupiga kross upende wa kulia lakini alikuahawez kutumia mguu wa kulia ilikua inamlazimu autulize mpira ndioaupige tena anapiga fyongo.
Tatu wote tumeona upandewetu wa kulia umezidiwa,tena mchezaji wetu anakadi ya njano bado Mwalimu ameshindwa kumwingiza Hassan Kessy !!! Benchi laufundi linatakiwa liwe linafanya maamuz ya haraka sio mbaka tufungwe.
 
Tangu mpira unaanza mashambulizi yote yanapitia upande wa kulia Haruna Shamte kachoka tangu dk ya kwanza hawezi kabisa hii game kwenye benchi kuna Kessy hataki kumuingiza hii mikocha ya kigeni sio muda wote matola tu ndie anahaha kusimama yy katulia tu!
Usimlaumu bana kajitahidi sana, ila kumuacha Shamte imetushangaza we wengi, alikuwa hawezi kukaba na bado hawezi kupandisha timu.
 
Tangu mpira unaanza mashambulizi yote yanapitia upande wa kulia Haruna Shamte kachoka tangu dk ya kwanza hawezi kabisa hii game kwenye benchi kuna Kessy hataki kumuingiza hii mikocha ya kigeni sio muda wote matola tu ndie anahaha kusimama yy katulia tu!
Damu nzito kuliko H2O.
 
Nilijua ni mimi pekee ndio nimeona ule upande wa kulia ulipitika kirahis sana,,kuna wakat niliona kessy amesimama nilijua anafanya mabadiliko
 
Kule kulia kulivuja sana... nafikiri mechi ijayo kocha atarekebisha.
Anapokosekana Kapombe basi awepo Kessy au Boxer... hawa wako vzr kuliko Shamte
 
We jamaa unajua kuangalia mpira. Mimi kuna watu nmewaaambia leo Shamte alikua njia hata goli limepitia kwake.Wazee wa Ud.Songo wabishi hatari!!
Tangu mpira unaanza mashambulizi yote yanapitia upande wa kulia Haruna Shamte kachoka tangu dk ya kwanza hawezi kabisa hii game kwenye benchi kuna Kessy hataki kumuingiza hii mikocha ya kigeni sio muda wote matola tu ndie anahaha kusimama yy katulia tu!
 
Leo yule Shamte kwa kweli aligeuka kuwa uchochoro wa Warundi! Ilishangaza sana benchi la ufundi kumuacha aendelee kucheza mpaka filimbi ya mwisho huku Hassan Kessy akisugua benchi. Bila shaka Matola alichangia kumpigia debe aanze baada ya kufanya nae kazi walipokuwa wote Lipuli.
 
Back
Top Bottom