nimemuona akasema anawatoa wapwa na wajukuuz kny crapiest,,nimefurahi sana kumuona mnoko fainest na afro wake
Ye mwenyewe anajijua ni mnoko kwangu,,LOL
mlimani ni mahali petu pa kudumu ili tuwe saints
Mie kumenishinda kule bwana wizi mtupu mbona mie bacha, finest nk hawajanitongoza jamani au nimezeeka
kuna kipindi tulimuanzishia mafundisho na zd kdg akatulia labda kama utamwambia aje kwanza kwa councelling,,,,hili vazi ni uwakilishi hata ww unaruhusiwa kuwa nalo hv naweza kukutumia,,lolhahahahah lol
labda umeleke mlima na ye mmhhhh
akiwa saint labda atakuheshimu lol
nway vipi mambo lakini..
nimependa hilo vazi lako la kimasaiii. lol
Jamani baba enock uko wapi uje unitongoze? maana naona huku wanatongozana wao kwa wao mi sina mwenza baby come zis way please
kuna kipindi tulimuanzishia mafundisho na zd kdg akatulia labda kama utamwambia aje kwanza kwa councelling,,,,hili vazi ni uwakilishi hata ww unaruhusiwa kuwa nalo hv naweza kukutumia,,lol
Ha ha ha Dena bana hauishi vitukoMie kumenishinda kule bwana wizi mtupu mbona mie bacha, finest nk hawajanitongoza jamani au nimezeeka
wewe TF si alikufuta
kwenye ile thread ya infi ukamkana ka mwayahudi..
leo unamtaka hahahahha lol
ngoja nika mwite lol
Ha ha ha Dena bana hauishi vituko
Jamani baba enock uko wapi uje unitongoze? maana naona huku wanatongozana wao kwa wao mi sina mwenza baby come zis way please
Maty umesemaje hapa sijasikia vizuri
Si ndio maana nasema hakunitongoza???
hahahaaaaaaaaaaa lol nimikosea nilikua namaanisha baba enika bana mwe nimecheka hakyanani
Nawasalimu wapendwa, nipo counter ya juu, busy kidogo na Viceroy. Jamani leo mmemwona Cleaner?
Karibu mishkaki...Hahahaaaaaaaaa unatafutwa wiselady kila kona wewe cha kujificha nini
Nawasalimu wapendwa, nipo counter ya juu, busy kidogo na Viceroy. Jamani leo mmemwona Cleaner?