Ndg Asprin

I understand how much u care for us babu,,hasa nikikumbuka zile laana ulizotoa jana.Hatibreka akae mbali kwa hisani ya babu ODIEM
Whomever you call heart-breaker, nakuomba ukimbie kule tunakowapendaga fasta.
Halafu usimsikilize sana huyu babu.......ni Kabaila wa wajukuu!
 
Whomever you call heart-breaker, nakuomba ukimbie kule tunakowapendaga fasta.
Halafu usimsikilize sana huyu babu.......ni Kabaila wa wajukuu!

Sasa we una taarifa Pope Kaizer kashatuletea sababu ya kukutana leo?...Sasa ile kitu feki na crapiest itakuwaje?
 
Wajukuuz for the babu...babu hana madhara kwa wajukuu zake!

Dont say I didn't warn you! And I hate seeing women crying!
Naona unatafuta kuchanganyiwa Grants na Viceroy wewe.........ukiendelea hivi kesho utakuja kuhadidhia hapa..........labda usifanye yale mambo ya from temeke with love pale jj leo......ukifanya hivyo tu, ukirudi unakuta kitu cha mix.......na hivi unabigia fasta fasta.......nusu saa tu......Teamo anapata kazi ya Udereva taxi.

You are warned.:frusty:
 
Sasa we una taarifa Pope Kaizer kashatuletea sababu ya kukutana leo?...Sasa ile kitu feki na crapiest itakuwaje?
Taarifa ninayo.......nimepewa via cm jana saa saba usiku na efu-elo.
 
I understand how much u care for us babu,,hasa nikikumbuka zile laana ulizotoa jana.Hatibreka akae mbali kwa hisani ya babu ODIEM

Here we go grandie...please don't go Bigi's way>>>
 
Whomever you call heart-breaker, nakuomba ukimbie kule tunakowapendaga fasta.
Halafu usimsikilize sana huyu babu.......ni Kabaila wa wajukuu!

ha ha ha,nimeamua kumtuliza kiivyo asije nitamkia laana,,am there already
 
bgrta mbona jana umeniacha msimbaz center?
 
Kwa kuwa viwango vyako viko juu kuliko vya mzee six, we nipe yeyote tu mi ntampokea kwa mikono miwili na miguu yote:smile-big:

Kuna mjukuu wangu mmoja amepotelea huko Ukuryani...please go for her/him..........anaitwa Semenya!
 
halafu hapo ndo unafanya nini sasa na bibi yako? we si umesema unataka kajukuu kangu kamoja?

You have been warned.....:banplease:


Babu mbona unakuwa na wivu kwa bibi yetu? mbona sie hatukuonei wivu kwa wajukuu wako?

hatahivyo usisahau kwamba bibi na wajukuu huwa inakubalika.
 
Aisee umenena vyema. Mpango wa leo unasemaje?

Huyu mkoloni naona ananizengua tu hapa.
maanake yule ''mariam'' wa chemi-cortex usipoonana nae mapema utashindwa KUSHIRIKI CHAKULA CHA PAMOJA NA FAMILIA(dinner)
 
ha ha ha,nimeamua kumtuliza kiivyo asije nitamkia laana,,am there already

I feel like am seeing one of wajukuu crying......her heart seriuos crushed by proffesional heart breaker!

Hope its not you my darling Wise the Lady. I hope not! Kwasababu you are Wise just like I instructed your dad to name you!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…