Ndg Asprin

Ndg Asprin

Kuna mjukuu wangu mmoja amepotelea huko Ukuryani...please go for her/him..........anaitwa Semenya!

Hapana bana, hii kitu haiwezekani.

we mwenyewe huna uhakika nae, hii kitu bado ni controversial kwenye ile maneno ya jinsi yake babu, sasa ukuryani atafikaje? na unajua sisi mila yetu kama YANGA, mbele daima.
 
Babu nadhani una limbwata wewe hii sio kawaida :sad::confused2::nono::nono::nono::nono:
 
Babu nadhani una limbwata wewe hii sio kawaida :sad::confused2::nono::nono::nono::nono:

Limbwata yangu ni ugoro. Nkiutia mdomoni namwaga sera tu, wajukuu wanakuja kuizunguka meza yangu. wanacheka na kufurahi na babu.

Ni wewe tu umebakia. Ni wewe tu na ukaidi wako.

Japokuwa nawe uko kwenye listi ya niwapendao sana.
 
Watching.....vere vere close!
Nini bana!........wakati ukiwa unabadilisha tairi tukutuku yako, mi nilikuwa busy nina msogeza swtyhat karibu na daladala coz tulikuwa tunaenda opposite direction.
piga ban sasa:banplease::banplease:
 
Hapana bana, hii kitu haiwezekani.

we mwenyewe huna uhakika nae, hii kitu bado ni controversial kwenye ile maneno ya jinsi yake babu, sasa ukuryani atafikaje? na unajua sisi mila yetu kama YANGA, mbele daima.

Kiongozi we kamtafute. Ukikuta dume, liache huko huko ntakutafutia mwingie kati ya hawa walionizunguka.
 
I feel like am seeing one of wajukuu crying......her heart seriuos crushed by proffesional heart breaker!

Hope its not you my darling Wise the Lady. I hope not! Kwasababu you are Wise just like I instructed your dad to name you!

Oh nooo! it wasn't serious babu,was just teasing him! mimi nafuata vile babu anasema,,i won't go other way round namsikiliza babu tuuuuuuuuu
 
tehe tehe! ukijaribu unakaguliwa.........usipojaribu unakaguliwa vile vile....:smile-big:

Yaani unataka kusema kitu fake kutoka shangai hakina tofauti na the crapiest?:amen:
 
Oh nooo! it wasn't serious babu,was just teasing him! mimi nafuata vile babu anasema,,i won't go other way round namsikiliza babu tuuuuuuuuu

And you know how babu is sweet when talking to you privately?
 
kaniambia ni heart maker babu nataka achukue nafasi ya kimey,,unaridhia?

Hadi leo hii bado uko na kimey, yelewiiiii!!

mpotezee huyo, hakuna kitu hapo, huyo ni mjasiriamali, biashara yake ikishachanganya utaumizwa.

Babu asprin hawezi kukupa ushauri wa kuachana na kimey, stuka mamii mimi ndo naweza kukupa ushauri mzuri kwa suala hili.
 
Nini bana!........wakati ukiwa unabadilisha tairi tukutuku yako, mi nilikuwa busy nina msogeza swtyhat karibu na daladala coz tulikuwa tunaenda opposite direction.
piga ban sasa:banplease::banplease:

akikuban we njoo geto...
 
Nini bana!........wakati ukiwa unabadilisha tairi tukutuku yako, mi nilikuwa busy nina msogeza swtyhat karibu na daladala coz tulikuwa tunaenda opposite direction.
piga ban sasa:banplease::banplease:

I will be back with a 6months ban.......ban wewe na ndugu zako....!
 
Msisisahau leo invii ana apetait ya ajabu ya kugawa ban........

Huwa anakuwa serious kwenye jukwaa la mastress.

Huku kwetu anakula bata na wapwaaz! No BAN to MMU members....ORDER kwa Invizibo. From Babu with Love!
 
Limbwata yangu ni ugoro. Nkiutia mdomoni namwaga sera tu, wajukuu wanakuja kuizunguka meza yangu. wanacheka na kufurahi na babu.

Ni wewe tu umebakia. Ni wewe tu na ukaidi wako.

Japokuwa nawe uko kwenye listi ya niwapendao sana.

Babu kwanini usinipe huyu mbishi, mi naona kama ndo atanifaa.

pls babu du ze needful.
 
Back
Top Bottom