Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
Dena tulikuwa ibadani,,,hebu cheki babu alivyo na mawivu eti anamuliza mwita nani kamruhusu kuongea na.......!!!!!!!!!!huyu babu bana!natamani kumbadilisha
Bikira Maria Mama Wa Yesu.........Babu amefadhaika. Babu amesikitika. Babu anarudi kitandani kwa simanzi.
Kwa herini wajukuu zangu. Wiselady kaniponda moyo wangu. Sijui kama tutaonana tena.
Mkimwona mwambieni babu ametoa machozi kwa huzuni.