Ndg Asprin

Ndg Asprin

Kiongozi kwani imekuwaje tena? kuna mahai nimekuharibia timing? am sore, lakini unapaswa kuniambiaga mapema nisikuharibie, si umeona babu kila nikigusa anga zake anatoa warning.

Bana bana....ngoja nikuweke kwenye list ya wahatarishi wa taimingi zangu......utakuwa unapata auto warning...
 
Bana bana....ngoja nikuweke kwenye list ya wahatarishi wa taimingi zangu......utakuwa unapata auto warning...

Hiro rimjamaa hata mi nimeristikia asee. Mura fita ni fita bana, rakini si fita na wachukuu sangu mura!
 
Hero_runs.gif

babu ulikuwa umelala wapi mchana huu?

Mwarubaini gesti hausi, floor ya kwanza rumu namba 112.
 
To: fellow tablet aspirin
RE: maongezeko ya mauzo hapa pharmacy

dear sir.

with a great hope i hope you are well and your faza, maza and wote waliobakia.

the aim of zis leta ni kukujulisha kwamba tangu lianzishwe hili sredi basi mauzo ya aspirin yameongezeka sana hapa pharmacy

senkyu in advanz

your fellow tablet
klorokwini
...........................
signecha ya dole gumba.


baada ya barua hii stokuwepo hewani,
 
To: fellow tablet aspirin
RE: maongezeko ya mauzo hapa pharmacy

dear sir.

with a great hope i hope you are well and your faza, maza and wote waliobakia.

the aim of zis leta ni kukujulisha kwamba tangu lianzishwe hili sredi basi mauzo ya aspirin yameongezeka sana hapa pharmacy

senkyu in advanz

your fellow tablet
klorokwini
...........................
signecha ya dole gumba.


baada ya barua hii stokuwepo hewani,

Nuts in an original form.....
 
Babu naomba uende sehemu kuna Topic yenye tuhuma nzito kuhusu wanaume wa JF nasaha zako zinahitajika

Kuna Sredi nyingine ukichangia unalewa hata kama unakunywa maziwa ya kondoo. lol
 
To: fellow tablet aspirin
RE: maongezeko ya mauzo hapa pharmacy

dear sir.

with a great hope i hope you are well and your faza, maza and wote waliobakia.

the aim of zis leta ni kukujulisha kwamba tangu lianzishwe hili sredi basi mauzo ya aspirin yameongezeka sana hapa pharmacy

senkyu in advanz

your fellow tablet
klorokwini
...........................
signecha ya dole gumba.


baada ya barua hii stokuwepo hewani,


WARNING: if you are too serious you better avoid me cuz I always define life as a joke.
 
Back
Top Bottom