Kiongozi kwani imekuwaje tena? kuna mahai nimekuharibia timing? am sore, lakini unapaswa kuniambiaga mapema nisikuharibie, si umeona babu kila nikigusa anga zake anatoa warning.
Bana bana....ngoja nikuweke kwenye list ya wahatarishi wa taimingi zangu......utakuwa unapata auto warning...