Papushikashi
JF-Expert Member
- Feb 28, 2016
- 10,963
- 13,287
Alikiba yupo bongo nilimuona kwenye mapokezi ya wachezaji wa yanga alikuwa naohawa wapo kweli alikiba yupo south kwanzaa
We acha tu...sijui wanqcheza style gani hawa, wapo wawili jamaa na mkewe.Nimemuona mzungu anacheza nimecheka sana
Wooooooow!Jokate yuko wapiView attachment 349475
Nimewaona hapo mkuu wanacheza hovyo kama nini[emoji2] [emoji2]Nimemuona mzungu anacheza nimecheka sana
Wewe jamaa ungekuwa wa kike ingebidi uolewe na Kiba tu.Alikiba yupo bongo nilimuona kwenye mapokezi ya wachezaji wa yanga alikuwa nao
huyo joan nimemjua baada ya msiba wa mheshimiwaWambea wenzangu huyo jamaa mweusi anayesakata Rhumba sio mume wa Director Joan kweli?
yahaya a.k.a baba swalehYahaya anauliziwa huko jamani
mzee wa kukojoza teh tehHizi nyimbo za COMMANDO naona kama zote zinamgusa Gardner
Hamna bhana kwenye taarifa ya habari nilimuona akipiga picha na wachezaji wa yanga pale uwanja wa ndege ntake radhi nifahWewe jamaa ungekuwa wa kike ingebidi uolewe na Kiba tu.
Unamfuatilia sana aisee,usisikie katajwa ushajaa!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] wewe mbeaaaaa!huyo joan nimemjua baada ya msiba wa mheshimiwa