Na kukimbia wamekimbia kwa aibuHata humu kuna wachawi walitangulia kuchafua hali ya hewa... Saivi siwaoni tena
Hahaha!! amekamatiwa chiniayo anatamani ila hana jeuri yupo chini ya bepari
Na kukimbia wamekimbia kwa aibu
Mmmh afadhali Jide.Jide and Beyonce are overhyped.
Afadhali hata Beyonce.
Show ya kawaiida ,ukumbi wakawaiida wabongo live band bado sana
Nb. staki mapovu tafadhali
The concert is boring kwangu
Jide hana sauti inayotawala yaani kama anajiimbia mwenyewe hakuna direct contact kati ya msanii na hadhira
Chura ahusike japo kidogo mama japo kwa sasa naanza kumuuelewa upo sehemu gan mm tucheze ndi ndi ndiMimi napenda shows smart kama hizi!
Hiyo miuno kama wendawazimu inafaa kwenye vigodoro zaidi.