Ndinga jipya la Diamond Platnumz Cruiser 200 series 2018

Ndinga jipya la Diamond Platnumz Cruiser 200 series 2018

Mkuu mtu hawezi toa 350mil kununua gari afu aipeleke kupigwa rangi.... Kumbuka rangi inayokuja nayo gari mpya inakua na warrant...
Pia utofauti angalia hizo guards za pembeni kwenye mataili ya 18 haina.

Msitake kutulisha matango pori
HIvi wewe ndugu yangu unaangaliaga hata vipindi vya kupimp magari,sasa ngoja nikwambie star time kuna channel moja hivi wanapimp magari vile utakavyo ww,kuna majamaa wawili mmoja ana degree ya Electrical Engineering mwengine Mechanical Engineering,ukienda pale unawaelezea ww unataka gari liweje,labda watakuchorea michoro unachagua.Sasa kuna tajiri mmoja wa kiengereza kaibadilisha rolls rorce mpya (thamani yake ni kama $250,000),kuanzia muonekano wake mpaka suspension system kwa ajili tu ya kuwindia,ila huku kwenu hivi vitu vigeni ndio maana ww unashangaa.Alafu mtu kama anauwezo wakununua gari la milion 350 ,warrant ndio itamzuia asilibadili.
 
Acha ale maisha...
Ukiacha mapungufu ambayo kimsingi kila mwenye pumzi anayo, jamaa ana roho nzuri sana.
He deserves this, by the way muungurumo wa hicho chuma ni zaidi ya mvumo wa radi!
Ukiweka youtube views milioni fasta ndani ya 24hrs.
Wengi hawajuii
 
Sasa unaongelea hiyo 220+ ndio unaona kiasi kikubwa mno.!? Watu wana magari mzee baba we acha tu, ama unataka kila mtu ajionyeshe kama huyo dogo? Iko hiv ata elfu moja kwa mwingine ni nyingi sana na kwa mwingine ni chache mno hivyo hivyo katika pesa hiyo uliyo andika hapo.
Weka yako we mama
 
Sijapata kuona watu wajinga kama watanzania.....supposedly, hili gari la Diamond ila wasiojitambua wanapoteza muda wao kushangilia wakati haliwasaidii lolote maishani mwao. So sad kwa kweli.
Acha wivuu
 
Nilimuona dogo moja mbunge analo km hilo
Msukuma ana v8 na Prof. Maji Marefu ana v8 ambalo lilikuwa upgraded hapo hapo [HASHTAG]#ttrautoupgrade[/HASHTAG] ni kawaida sana kukuta say gari ya 2016 ikawa upgraded to 2018 sema watu wavivu kufatiria!.
 
Team kiba lazima mjiharishie mwaka huu
Hahahaha, haya mambo bado sijayaelewa, teteteeeeh.. Furaha ya diamond kupata gari unafaidikaje,... Umejitathimin mwezi May sasa,malengo yako yamefikia 45%? Muda na mambo yako yanasimama ukiinadi gari ya diamond.. Daah
 
Ile Rolls royce new model bado ipo kwenye maji?
[emoji23][emoji23] #mo fayaa[emoji91]
 
Wakati sisi tukijikamua namna ya kupata Passo,IST na nyinginezo, kijana menzetu anazidi kupaa zaidi na NDINGA KALI
Si jambo la ajabu BT inaleta faraja kuona kumbe twaweza pambana zaidi na kufikia malengo yetu .
Anyway wacha niandae chenji chenji za kukwea Daladala baadae.[emoji51]
Mondi.jpg
mondi1.jpg
 
Back
Top Bottom