Ndinga mpya ya Drake

BilioneaPATIGOO

JF-Expert Member
Joined
Jun 23, 2012
Posts
12,320
Reaction score
11,327
Rapper kutoka Canada, Drake ameonyesha kuwa yeye ni moja ya watu walio na love ya kutosha na magari kwa kuamua kuvuta ndinga nyingine ambayo gharama yake ni sawa na gharama ya kurudia uchaguzi kwa majimbo zaidi ya kumi nchini Tanzania.

Gharama ya ndinga hiyo aina ya ‘Ferrari LaFerrari kutoka kwa hitmaker wa ‘God's Plan’ ni kiasi cha shilingi bilioni 15 na ushee kwa pesa za kitanzania.



 
Mimi wazeya huwa nipo tofauti kidogo na migari yaani sionagi uzuri hasa wa hizi kitu. Gari ninazo penda ni Nissan tena nyeupe kama ya wale watu wasiojulikana na Toyota karibia aina zote.
Mkuu ..avatar yako ulikua huko?!
 
Tajiri haswaa. Tafuta zako pia acha kufuatilia maisha ya watu.
Sawa tajiri. Umeifanyia nini tanzania tajiri ..umeajiri watu? Una foundation yoyote tungepende tuijue, watu wenye uhitaji na hali ya chini unawasaidia tajiri,,nini malengo yako ...unajiona uko wapi baada ya miaka 5...utajiri ulionao chanzo chake ni nini..uliupataje shirikisha watu wajue pengine unaweza kuwa inspire wawe tajiri kama wewe na kujitapa kwenye forums
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…