Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mambo gani hayaUnatongoza dume mwenzio
Atuoneshe shemejiNilitaka kuuliza hili swali....kila siku tunaona wakina mond wanaswampa hadi bahrain na korea kupiga show ila huyu bingwa simuoni naona anakula matunda sijui kapanda wapi
[emoji1787][emoji849][emoji849]
SIendi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]we nenda tu pm tutajua kifuatacho itv
Yapi tenaMambo gani haya
Huyu, mwanaFA,na edo kumwembe,nna mashaka nao sana.Hivi huyu hua na safari zote zile hua habebi sembe kweli? Maana hamna muziki hapo.
Hadi nmekumbuka ile video ya ngwea madocta wakimtolea sembe tumboni.
By the way gari nzuri, hongera zake.
Show hafanyi biashara ya maana hana na kibaya zaidi mziki wake una legalega, pesa anatoa wapi huyu jamaa? Au analiwa KISHUBI?
Fa kajipanga muda sana huyo, ila Kumwembe na Ommy mimi pia naungana na wewe.Huyu, mwanaFA,na edo kumwembe,nna mashaka nao sana.
Huyu, mwanaFA,na edo kumwembe,nna mashaka nao sana.
Uliambiwa lazima uipende.Eeh mziki wa bongo fleva unalipa, hongera ommy D, tunyooshe wanazengo[emoji23], ila Gari yenyewe mwenzangu mmh sijaipenda mbea mie
View attachment 1108235View attachment 1108236
Afanye show kwa koo la bandia? Unataka afwe eti?Hivi mbona simuonagi anafanya show... Au ana biashara gani
Hii gari sio mpya, hii gari ni Used kutoka nje na na ilipotua bongo akaipeleka kwa TTTR Auto upgrade akaipimp ionekane mpya hata LandCrueser ya DIAMOND ilinunuliwa used kutoka nje.