sonofobia
JF-Expert Member
- Jun 21, 2015
- 1,171
- 4,295
Kuna hoja inatumiwa sana na machawa wa Mbowe kuwa Lissu hawezi kuingoza chadema kwa kuwa ni kapuku na mbangaizaji.
Lakini tumeona viongozi kama Nyerere wakiongoza chama kwa mafanikio bila kuwa matajiri.
Lissu atashindwa nini? Maalim Seif hakuwa millionea kama Mbowe lakini aliipa nguvu cuf na baadae ACT.
Mbowe acha kuita wenzio wabangaizaji. Siasa ni watu.
Lakini tumeona viongozi kama Nyerere wakiongoza chama kwa mafanikio bila kuwa matajiri.
Lissu atashindwa nini? Maalim Seif hakuwa millionea kama Mbowe lakini aliipa nguvu cuf na baadae ACT.
Mbowe acha kuita wenzio wabangaizaji. Siasa ni watu.