ndio ndoa hizi

 
 
mie na credit wapi na wapi, tumemuachia mama yake sasa aendelee, wafarijiane weee wabembelezane weeee, mpaka atakaporuhucwa,
Vibaya hvyo nyamayao mbona unakuwa kama unashangilia mwenzio kuumizwa, Its not fair at all hebu muonee huruma kidogo mwanamke mwenzio bwana.
 
 
Vibaya hvyo nyamayao mbona unakuwa kama unashangilia mwenzio kuumizwa, Its not fair at all hebu muonee huruma kidogo mwanamke mwenzio bwana.

Kapata funza Da Womanizer alidhani wenzie hawajui kutunza ndoa zao.......si kwamba watu wanamcheka la hasha kutoka hapo hatakuja na habari tena za mme wangu ooh ikaenda ikarudi haipo tena
 

hahaha, dah....mna misemo acha tu. Sasa ndoa ya nini kama mtakuwa mnaishi kwa wasiwasi namna hiyo?


..welcome back partner, jamvi limeku miss sana.
Huenda umekusanya mapya ya ku dicuss humu.

Karibu sana! :thumb:
 
hahaha, dah....mna misemo acha tu. Sasa ndoa ya nini kama mtakuwa mnaishi kwa wasiwasi namna hiyo?
hapo mi ndo nakosa esence ya hii Taasisi jamani.....maisha ya wasiwasi ni mabaya sana bana!! mguu ndani, mguu nje!!! its torture in itself....
 
bht hutakiwi kukaa na wasi wasi ati

kwani mfano kuna uwezekano mkubwa wa kupata malaria ikakuangusha, lakini huishi kwa wasi wasi kuwa utaugua ati.....unaishi kawaida tu na kinga za hapa na pale unazofanya bila ya kutumia nguvu nyingi, likikupata utapambana nalo hapo likishakufika.
 

Hahahahhaha! Ama kweli laazizi ninaye jamani, kila siku una terminology mpya!
 
Dawa ni kuweka ganzi tu kwenye moyo wako....!!! Ili hata siku yakitokea uweze kuyahimili. Kama huyo dada aliyelazwa ICU sasa hivi ndio ameshakomaa sasa....Yaani hata akimfumania mumewe tena hatalazwa!
 
Dawa ni kuweka ganzi tu kwenye moyo wako....!!! Ili hata siku yakitokea uweze kuyahimili. Kama huyo dada aliyelazwa ICU sasa hivi ndio ameshakomaa sasa....Yaani hata akimfumania mumewe tena hatalazwa!

she z damaged, na kama ganzi zenyewe ndo za hivo duh tutaumia sana
 
na hata angeyafanya yote hayo bado angecheza rafu na angetungiwa stori nyingine, unacheza na mwanaume nini, mwanaume ni mzuri akiwa hajacmamisha, akicmamisha bac tena.

Safi sana laazizi, call a spade a spade and not a big spoon
 
ngoja tupoteze ushahidi
Hilo jema! c umeona hapo kwa wifi ushaidi wa kuona umempeleka ICU, mambo ya suprise bana sooo! Ya nn malumbano mi nakwambia. Kabsaa natoka usalule leo uweke mambo sawa! Lol
 
Mtu nimemkuta mkubwa kabisa na meno yake 32 anipeleke ICU!!? ooh no! naomba tu Mungu anisaidie. Ndo maana i hate suprices. mpe pole wifi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…