ndio ndoa hizi

..welcome back partner, jamvi limeku miss sana.
Huenda umekusanya mapya ya ku dicuss humu.[/COLOR]
:thumb:
Aksante Partner nimeshakaribia ........... Asa mbona nasikia harufu ya wivu partner?? ndio nini kuredisha hapo kwenye nimefichwa sehemu??. .......mwenzio nilikuwa aisiiyuu........
 
Mtu nimemkuta mkubwa kabisa na meno yake 32 anipeleke ICU!!? ooh no! naomba tu Mungu anisaidie. Ndo maana i hate suprices. mpe pole wifi
Hapo chacha ..........ila mh hawa viumbe wakiamua kukuchezesha kwata unalicheza haswa shost yangu usiombe kusikia!! Mie nilichezeshwa enzi hizo elimu ya mapenzi haijaeleweka vizuri mbona nlishaaaa.... Sikuingia ICU lakini cha moto nilikiona.
 
Mtu nimemkuta mkubwa kabisa na meno yake 32 anipeleke ICU!!? ooh no! naomba tu Mungu anisaidie. Ndo maana i hate suprices. mpe pole wifi
tatizo ''mwenzio'' aliintatein MAJIGAMBO kwa wanawake wenzie.....!ndo maana she had to ''take a risk'' ya kumfumania au la JUST TO PROVE HERSELF RIGHT
 
tatizo ''mwenzio'' aliintatein MAJIGAMBO kwa wanawake wenzie.....!ndo maana she had to ''take a risk'' ya kumfumania au la JUST TO PROVE HERSELF RIGHT

majibu huwa ni hapa duniani...:lie:
 
ushindwe na ulegee wewe dawa
ustake kuhalalisha madudu pale bustani ya edeni kulikuwa na akina hawa wangap na adamu wangapi???????
acha ushetwaaaaaaaaaani wako
the formula goes to 1 by 1 nt 1 by 11 u gt me???????
karibu chai na mihogo!!!!!!!!!!
nawasilisha
 
umekuwa mkali kweli kweli!eeh!au unaaaaa......😛reggers:😛reggers:
 
ushindwe na ulegee wewe dawa
ustake kuhalalisha madudu pale bustani ya edeni kulikuwa na akina hawa wangap na adamu wangapi???????
acha ushetwaaaaaaaaaani wako
the formula goes to 1 by 1 nt 1 by 11 u gt me???????
ukali huu una manufaa yake....ila kuna siku utakubali.....:argue:
 


haa mami nilikmic sana tena sana jamani, welcom back mami.

ndio hivyo mpendwa mtu anaingia moyoni kwa mwenzie mzima mzima hajapakisha hata unywele......hapo blue cku hizi ndi maigizo kama haya.
 

pole kwa mkasa... Ni ka-udadisi tu:Mbona 'Senksi' nyingi zinatoka kwa vidume?!!!😛ound:
 
 
Vibaya hvyo nyamayao mbona unakuwa kama unashangilia mwenzio kuumizwa, Its not fair at all hebu muonee huruma kidogo mwanamke mwenzio bwana.

nimepiga vigelegele?.....watu wanaingia kwenye game na nyodo/dharau halafu unataka niombolezewakati dunia imefunza watu?
 
Dawa ni kuweka ganzi tu kwenye moyo wako....!!! Ili hata siku yakitokea uweze kuyahimili. Kama huyo dada aliyelazwa ICU sasa hivi ndio ameshakomaa sasa....Yaani hata akimfumania mumewe tena hatalazwa!

hebu hiyo dawa ya ganzi mumdunge na BHT, huyu kwasasa atakuwa hana amani kabisa, atakuwa anafikiria/waza hii ishu mpaka ije imtoke kichwani/moyoni itachukua muda....mwanaume labda umuumbe wako then uwe unachomoa ile kitu yake mpaka utaakpomuhitaji ndio ukibandike...ukimaliza unakibandua, atleast utabaki na ka amani kidogo.
 


afadhali wewe......

btw: chai na mihongo ya kukaanga na kachumbari (usitake kujua hiyo kachumbari imetengenezwaje) umenipa hamu aisee
 

hahaaa super dearest, hebu ongea na laaziz wako vizuri, ila kama hiyo ndo ganzi yenyewe mmmmh nimekufa mweh!!!

hapo kwenye rangi.......sijui if I will learn to live with that painful truth poor me!!! dawa kuwachongeshea boxers za chuma hawa.
 
hahaaa super dearest, hebu ongea na laaziz wako vizuri, ila kama hiyo ndo ganzi yenyewe mmmmh nimekufa mweh!!!

hapo kwenye rangi.......sijui if I will learn to live with that painful truth poor me!!! dawa kuwachongeshea boxers za chuma hawa.
ili ''mkose wote''
 
 
Ukimchunguza sana KUKU/BATA hutamtamani kumla..............................................................
 
Mi nitampigia kura Ritha Mlaki. Hata kama hampendi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…