ndio ndoa hizi

La haula! Sijui alikuta jamaa anakula ....we mpaka kuzimia cmchezo! Kuna member mmoja hapa JF nae alishakiri mumewe hawezi kucheat ngoja aione hii!
 
sasa Mbu kweli hapa eti jamaa anasema kw aajeuri waniulize waone.....alishindwa nn kumwambia mkewe hataki kutengewa chakula na H/G, wala kutandikiwa wala kunyooshewa??? wats so difficulty hapo?? ona sasa aibu hii wayiiiiiiii....

na hata angeyafanya yote hayo bado angecheza rafu na angetungiwa stori nyingine, unacheza na mwanaume nini, mwanaume ni mzuri akiwa hajacmamisha, akicmamisha bac tena.
 

...haha, kwa mtaji huo dada mtu badala ya kuziba ufa, anaubomoa ukuta!
Nyamayao, kwa mtaji huu sijui uta side na nani hapa.
Kazi kweli kweli ndoa za kisasa.
 
na hata angeyafanya yote hayo bado angecheza rafu na angetungiwa stori nyingine, unacheza na mwanaume nini, mwanaume ni mzuri akiwa hajacmamisha, akicmamisha bac tena.

nimecheka mm!
 
ebu tueleweshe basi! how come ni ya hasara yet mnaendelea kuinvest?
taifa linaangamia kwasababu ''nguvukazi nyingi'' zinawekeza kwa wanawake......
 
habari ndio hiyo!....
wanawake ni miradi ya hasara...!A TOTAL LOSS BUSSINESS

ha ha ha, Teamo kidogo kidogo bana, wewe ndoa yako bado changa
Jipe moyo- Utayashinda tu majaribu hayo
...hahaa...

 
ebu tueleweshe basi! how come ni ya hasara yet mnaendelea kuinvest?
wanaume wengi wanafanya kazi kwa bidii zote 99 ili wakidhi mahitaji ya WANAWAKE.....
 
ebu tueleweshe basi! how come ni ya hasara yet mnaendelea kuinvest?

swali nzuri...nijuavyo mie wao ni hasara jumla, bora sie tutakuwa rejareja.
 
na hata angeyafanya yote hayo bado angecheza rafu na angetungiwa stori nyingine, unacheza na mwanaume nini, mwanaume ni mzuri akiwa hajacmamisha, akicmamisha bac tena.

angalau basi one has played his/her role......

timiza majukumu yako then akuchiti ujue tu huyo aliamua hata hukumsukuma kufanya hivyo....then ufe vizuri kwa machungu
 
familia zinaangamia kwasababu vichwa vya familia vimewekeza kwa wanawake.......
wanaume wengi wameuawa (RIP STEVE2K) kwasababu ya wanawake............
 
ebu tueleweshe basi! how come ni ya hasara yet mnaendelea kuinvest?

...mnh, ama kwa hakika hili jibu limeniuma mno!
Kwakweli ndoa za kileo msumeno hasa,-JEHANAMU
Nitaprint jibu lako hili, niambatanishe kwa wataotaka michango yangu ya harusi zao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…