Ndio nimejiunga leo na JF wakuu

Fatilia Nyuzi za humu utaamini nachokuambia, leo Mtu anaweka Uzi anafanya kazi analipwa Milioni 4 kwa Mwezi poaho laki 2.... alafu kesho anatoa uzi ana miaka miwili hana kazi yupo tu Mtaani... kwahiyo Mikwala muhimu

kumbe kuna vichaa humu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…