Ndio nimejiunga leo na JF wakuu

Ndio nimejiunga leo na JF wakuu

Fatilia Nyuzi za humu utaamini nachokuambia, leo Mtu anaweka Uzi anafanya kazi analipwa Milioni 4 kwa Mwezi poaho laki 2.... alafu kesho anatoa uzi ana miaka miwili hana kazi yupo tu Mtaani... kwahiyo Mikwala muhimu

kumbe kuna vichaa humu
 
Hata sijui.

IMG_4643.jpg
 
Back
Top Bottom