Technophilic Pool
JF-Expert Member
- Jan 18, 2024
- 2,597
- 3,965
- Thread starter
- #41
Acha kumtisha mwenzio!
nilitaka nifute acc maana huku duuh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kumtisha mwenzio!
Tuko na doh ndefu sanaE
Exactly kabisa mkuu... yani sisi site ni matajiri.
Kama hana gari huku atatishika sanaAcha kumtisha mwenzio!
Kama hana gari huku atatishika sana
Karibu bhana kwa maGT
Sio kidogo umekosea kweli kweli. Kuna huyu kijana Intelligent businessman anaweza kukuazima ili usijisikie vibaya.sasa mbona mi sina au nimepotea njia
Halafu uku pisi zote ni za kwendanishatishika mkuu
We nusu albinoo, acha ujinga Basi😂.Sio kidogo umekosea kweli kweli. Kuna huyu kijana Intelligent businessman anaweza kukuazima ili usijisikie vibaya.
karibu sana Ndugu,Wakuu mm mgeni kwene huu mtandao
Ndo nimejiunga leo jF
ushauri
Kula chuma hicho tajiri toa gariWe nusu albinoo, acha ujinga Basi😂.
👉Mi jobless boys wewe
We mdanganye mgeni ajichanganye abwetekeRio Shabazz wasi kutishe chochote, wengi hawana maisha.
👉Walicho kushinda ni Simu Kali za kupigia picha, madem Wana jaza filter wafanane na Dem wa jigga.
👉Nipo Mimi jobless pro max, na nusu albino Half american.
Ndio kuanza na ushauri😀 juu ya nini labda?Wakuu mm mgeni kwene huu mtandao
Ndo nimejiunga leo jF
ushauri
Ndio kuanza na ushauri[emoji3] juu ya nini labda?
Karbu sana ndugu yangu ukiwa humu ndani kataa katakata kuhusu ndoa na masingo maza.
We mdanganye mgeni ajichanganye abweteke
Kula chuma hicho tajiri toa gari
Halafu uku pisi zote ni za kwenda
karibu sana Ndugu,
acha kiherehere na ubabe kama kule Whatsapp group ulivyo kua
Huu mtandao siyo mpya bwana wewe ndo mpya, tueleze tu umetuletea nini kipya ndugu zako.ha ha kuhusu huu mtandao mpya