Ndio nimejiunga leo na JF wakuu

Ndio nimejiunga leo na JF wakuu

Karibu sana, zingatia mwandiko.

haya kaka
 
Hongera sana, nakupa moyo.

Mie leo ni mwaka wa 15 toka nimejiunga na JF “where we dare tak openly”
 
Karibu sana, ila usikae Kinyonge Mikwala muhimu kama kazi bila mshahara wa Milioni 5 hufanyi, Bongo hujawahi kuona sehemu nzuri ya starehe ushazoea Nchi za nje, Nyuzi zako kingereza muhimu, unadaiwa na BOT Milioni 560, unawadai Watu wengi, una Mijengo mitano Kigamboni n.k
 
Karibu sana, ila usikae Kinyonge Mikwala muhimu kama kazi bila mshahara wa Milioni 5 hufanyi, Bongo hujawahi kuona sehemu nzuri ya starehe ushazoea Nchi za nje, Nyuzi zako kingereza muhimu, unadaiwa na BOT Milioni 560, unawadai Watu wengi, una Mijengo mitano Kigamboni n.k

[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Mm[emoji3582]
Mimi[emoji3581]
Kwene[emoji3582]
Kwenye[emoji3581]

Nimevumilia sana nisikukosoe lakini nimeshindwa nisingepata usingizi.

Una mdomo we mshikaji daah nyie ndo mlikua mkipigwa mtu kabana unamuita mwalimu


“fulani hajachapwa”
 
Karibu sana epuka matusi ama kauli za kuudhi ama kudhalilisha fikiri kabla ya kuchangia. Huku watu ni waelewa si kama facebook ama insta umri umefichwa na jina hivyo waweza mjibu baba yako shangazi, mama, hata babu pendelea kuheshimu.
 
Back
Top Bottom