Ndio tunaingia mwezi wa tatu wa mwaka huu mpya, vipi unaonaje mwelekeo wa mipango (resolutions) yako ya mwaka huu? Apeche alala au Apeche alolo?

Ndio tunaingia mwezi wa tatu wa mwaka huu mpya, vipi unaonaje mwelekeo wa mipango (resolutions) yako ya mwaka huu? Apeche alala au Apeche alolo?

Doctor kwamba eti na mimi ni tabibu mahali fulani?😁😁😁
Nikijua hivyo ndugu yangu ,alafu nikawa najua ni TABIBU katika vyombo vya usalama maana zungumza yako ni Kama Askari kumbe nilikuwa Op

Very sorry Ila Jambo moja ikiwa Kuna sehemu umejishikiza keep making up ndugu hakuna kwenye unafuu kikubwa mkono uende kinywani .

Ni watumishi wengi ambao Sasa ukimuuliza anayo hata laki kwa akaunti macho yatamtoka Kama mjusi aliyebanwa na mlango hivyo kikubwa ni hela si ajira ndugu .

Pamoja Sana aisee japo sikudhani
 
Nikijua hivyo ndugu yangu ,alafu nikawa najua ni TABIBU katika vyombo vya usalama maana zungumza yako ni Kama Askari kumbe nilikuwa Op

Very sorry Ila Jambo moja ikiwa Kuna sehemu umejishikiza keep making up ndugu hakuna kwenye unafuu kikubwa mkono uende kinywani .

Ni watumishi wengi ambao Sasa ukimuuliza anayo hata laki kwa akaunti macho yatamtoka Kama mjusi aliyebanwa na mlango hivyo kikubwa ni hela si ajira ndugu .

Pamoja Sana aisee japo sikudhani
Ila ulikua haujakosea japo niliachana na hiyo fani kitambo🤔
 
Hahaha mzee wao ana endeleaje?, uli sema uta omba namba kwa shemeji!.

kaka mimi ni raisi wa Chama Cha ma jobless pro max.
Kaka nina historia mbaya na kazi anayoifanya shemeji ukizingatia back in days nimewahi kuwa nafanya kazi hiyo Ila niliharibu Sasa kila nikiwaza kumfuata kumuomba namba nahisi Kama anaweza kunidhania mengine mwisho nianze kufuatiliwa Kaka ilihali Sasa nimetulia na tupombe twangu .

Kiukweli sijui anaendeleaje
 
All in All ukata ni wa moto sanaa tena ukiongezea na hili jua kali hivi unachomeka kisawa sawa hadi unaanza kunukia kama ndafu.

Ila tushazoea Uafrika wetu huu, mapambano yanaendelea hadi hio 31st of december.
Too early to predict bro!
 
Kaka nina historia mbaya na kazi anayoifanya shemeji ukizingatia back in days nimewahi kuwa nafanya kazi hiyo Ila niliharibu Sasa kila nikiwaza kumfuata kumuomba namba nahisi Kama anaweza kunidhania mengine mwisho nianze kufuatiliwa Kaka ilihali Sasa nimetulia na tupombe twangu .

Kiukweli sijui anaendeleaje
Kaka nili kwambia usi ogope, na hata waki jaribu kukugusa trust me nakuja mwenyewe kukutoa rumande.

Jaribu kaka, ni muhimu sana kujua hali yake.
 
Nitajitahidi Ila kaa standby sababu najua unajua nadeal na familia ya aina gani wasijesema Mimi ndiye namloga chapombe wao
Kaka hata wakili yuko standby, naelewa Sana.

Just approach her in a nice and appropriate way, uliza kuhusu afya yake.

Kisha omba mawasiliano yake, kwa madai mzee wako ana muulizia rafiki yake huyo.
 
Back
Top Bottom