Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
Unakuta wanandoa hawana hata watoto wameoana majuzi tu, kidogo mwanamke anaanza purukushani. Kosa ni kidogo analivuta maana anajua kaolewa.
Basi anaanza masifa na ugomvi usio wamaana. Halafu mumewe ukute anawafukuziaji tosha, mmoja anapendeza balaa. Unafikiri hatochanganyikiwa, anaenda moja ya kwanza hiyo round mbili, round ya pili anasex hatoki.
Anaweka huyo ndiyo mchepuko wake akiwa na stress. Kelele masaa yote, anakereka.
Basi anaanza masifa na ugomvi usio wamaana. Halafu mumewe ukute anawafukuziaji tosha, mmoja anapendeza balaa. Unafikiri hatochanganyikiwa, anaenda moja ya kwanza hiyo round mbili, round ya pili anasex hatoki.
Anaweka huyo ndiyo mchepuko wake akiwa na stress. Kelele masaa yote, anakereka.