Ndiyo maana michepuko haiishi kwa hali hii

Ndiyo maana michepuko haiishi kwa hali hii

Aliyeelewa msaada please!!
Screenshot_20221003-190759.png
Haujaelewa nini hapa mkuu? Emu toa maelezo vizuri..
 
Mimi kama mimi nikigundua tu umeliwa aisee hata kama tulifunga ndoa ya billions of money nakuacha
Amani ya moyo ni msingi wa maisha yenye furaha
 
Aisee!? Kwan wanaume huwa wanasababu Maalum ya kucheat?
 
Kwamba sisi wanaume weupe tuna nini hadi usiweke picha hata moja hapo 🤔🤔
Hebu tukuone kwanza wewe ni mweupe kiasi gani sasa wanawake wasasa hawapendi vyeupe wanapenda vya chocolate light ,black basi sasa ndio nimeweka wanasema white mnado sana mna wengi
 
Mimi kama mimi nikigundua tu umeliwa aisee hata kama tulifunga ndoa ya billions of money nakuacha
Amani ya moyo ni msingi wa maisha yenye furaha
Unahela
Huna stress
Unajua kutunza je unabembeleza manzi wako kama hauna hivyo vyote wewe unashida mahali
 
Baadhi ya wanandoa wakifanya aniversary Kuna mwamba naye anaadhimisha anniversary, na anapewa zawadi kede kede za maana, ndoa nyingi mjini zimedumu na kufanikiwa kuvuka changamoto sana, na wanaosaidia ziendelee kudumu ni mpango kando.
Kabisa....michepuko ni muhimu kudumisha ndoa
 
Back
Top Bottom