Ndiyo maana michepuko haiishi kwa hali hii

Ndiyo maana michepuko haiishi kwa hali hii

Michepuko ndio chanzo kikuu Cha ndoa za watu kuvunjika.
 
Eh wanayo wanadai wanapigiwa makelele mengi sana ndani.
Ata usipopiga makelele napo tutachepuka kwa kisingizio huna amsha amsha ndani pamepoa sana, wengine msosi tu unaweza fanya tuchepuke
Kuchepuka wengine ni tabia yao Ata ufanye nn atachepuka tu ila sio kwamba hakupendi
 
Back
Top Bottom