Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
Pic no 3=VICTORIA CAKES au ni mwamba CHEROKEED ASSUnakuta wanandoa hawana hata watoto wameona majuzi tu kidogo mwanamke anaanza purukushani kosa nikidogo analivuta maana anajua kaolewa.
Basi anaanza masifa na ugomvi usio wamaana.
Halafu mumewe ukute anawafukuziaji tosha mmoja anapendeza balaa unafikiri hatochanganyikiwa anaenda moja ya kwanza hio round mbili round ya pili anasex hatoki .
Anaweka huyo ndio mchepuko wake akiwa na stress .Kelele masaa yote anakereka
🤣🤣🤣🤣 wametoa picha za kuwadatishaAhsante kwa kufanikiwa kutuonyesha picha za Uchi.
Imekuwa ni bahati ya kipekee kucomment mwanzo mwanzo kabla ya Uzi kufungwa
Hapana kwanza alisomea masanja hakusomea uchungaji , mchungaji mtu aliyesomea nakufuzu uchungaji na kusimikiwa na kupakwa mafuta na kukabidhiwa kulinda kondoo yeye amejiweka tu kuwa mchungajiUnazungumziaje sakata la mchungaji….
Kwamba sisi wanaume weupe tuna nini hadi usiweke picha hata moja hapo 🤔🤔Hata mwanaume mwenye wivu anamchosha mkewe unadhani mkewe akikutana na wanaume wanamna hii atawaacha salama ili tu aishi kwa amani
Kupakwa MAFUTA? 🤔🤔 hayo mafuta unapakwa pakwa vipi? Kwanini usiachiwe ujipake mwenyewe? Na kwanini lazima upakwe mafuta?Hapana kwanza alisomea masanja hakusomea uchungaji , mchungaji mtu aliyesomea nakufuzu uchungaji na kusimikiwa na kupakwa mafuta na kukabidhiwa kulinda kondoo yeye amejiweka tu kuwa mchungaji
Nilijua kuna aina ya nyundo itashuka.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] wametoa picha za kuwadatisha
All of them on the picture are GaysHata mwanaume mwenye wivu anamchosha mkewe unadhani mkewe akikutana na wanaume wanamna hii atawaacha salama ili tu aishi kwa amani
hujatulia wewe lazimaHata mwanaume mwenye wivu anamchosha mkewe unadhani mkewe akikutana na wanaume wanamna hii atawaacha salama ili tu aishi kwa amani
Hujawahi kuona Maza house mpole kupitiliza, jamaa anaboreka mpk anafanya maarifa ya kupata sehemu zenye kelele kelele flani hivi walau nayeye achangamke.