Raymanu KE JF-Expert Member Joined Jan 20, 2022 Posts 8,611 Reaction score 16,118 Oct 4, 2022 #41 Michepuko ndio chanzo kikuu Cha ndoa za watu kuvunjika.
Patra31 JF-Expert Member Joined Apr 24, 2020 Posts 6,918 Reaction score 13,885 Oct 5, 2022 #42 Unique Flower said: Eh wanayo wanadai wanapigiwa makelele mengi sana ndani. Click to expand... Ata usipopiga makelele napo tutachepuka kwa kisingizio huna amsha amsha ndani pamepoa sana, wengine msosi tu unaweza fanya tuchepuke Kuchepuka wengine ni tabia yao Ata ufanye nn atachepuka tu ila sio kwamba hakupendi
Unique Flower said: Eh wanayo wanadai wanapigiwa makelele mengi sana ndani. Click to expand... Ata usipopiga makelele napo tutachepuka kwa kisingizio huna amsha amsha ndani pamepoa sana, wengine msosi tu unaweza fanya tuchepuke Kuchepuka wengine ni tabia yao Ata ufanye nn atachepuka tu ila sio kwamba hakupendi
zombi JF-Expert Member Joined May 6, 2008 Posts 1,618 Reaction score 1,338 Oct 5, 2022 #43 Unique Flower said: Hata mwanaume mwenye wivu anamchosha mkewe unadhani mkewe akikutana na wanaume wanamna hii atawaacha salama ili tu aishi kwa amani Click to expand... Mbona Kuna red flag hapo, kama mi tuti fruti hii
Unique Flower said: Hata mwanaume mwenye wivu anamchosha mkewe unadhani mkewe akikutana na wanaume wanamna hii atawaacha salama ili tu aishi kwa amani Click to expand... Mbona Kuna red flag hapo, kama mi tuti fruti hii