Wewe ni mnyarwanda uliye lowea kagera tena ngaraLeobndo umenitambua kama nshomile na sio mnyarwanda [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Jamaa una taabu sana wewe...very suspicious guy [emoji28]Wewe ni mnyarwanda uliye lowea kagera tena ngara
Umeshaukana uraia wako?Jamaa una taabu sana wewe...very suspicious guy [emoji28]
AlhamduliLlah, nipo.
Hapana, kuna wengi wanakerwa lugha yetu tamu ya Kiswahili inapochafuliwa.Faiza Foxy umekuja kivingine
Ubarikiwe. Nashukuru kuona upo na pia kujua kwamba umejikita kwenye mijadala ya kimataifa. Kwa kweli siku hizi JF kidoogo kunakosa wataalamu wa kuongoza mijadala; rudini turudo tulikokuwa.AlhamduliLlah, nipo.
Si wengi wa siku hizi humu JF wanaowezaa kuongoza mijadala yenye maana, iwe ya Kisiasa au ya kidini.
Huwa na ingia ingia JF na "peruse" napotea, nipo kweye mijadala ya Kimataifa zaidi siku hizi.