Ndiyo tuseme kwamba mapenzi yana wenyewe ama?

Ndiyo tuseme kwamba mapenzi yana wenyewe ama?

Inamaana penzi lingekua chombo cha usafiri ungekosa hata sehemu ya kusimama?
 
But wataalamu wa mambo huwa wanasema kuwa mapenzi ya kweli yapo kipindi cha adolescence, hapo ukikuta boy/girl anaweza akamtukana mzazi kisa kidemu/kiboy chake,anaweza hata toroka kwao kisa mahusiano!!!

N maoni yangu
 
Always kile unachokitaka hukipati kwa wakati na mda ambao huna shida nacho ndiyo kinakuja, relax endelea kutembeza kipande mkuu
 
But wataalamu wa mambo huwa wanasema kuwa mapenzi ya kweli yapo kipindi cha adolescence, hapo ukikuta boy/girl anaweza akamtukana mzazi kisa kidemu/kiboy chake,anaweza hata toroka kwao kisa mahusiano!!!

N maoni yangu
Hivi ile n mapenz ya dhati au hulka ya mwili kupevuka? Sijawahi kuelewa kabisaaaah.
 
Hivi ile n mapenz ya dhati au hulka ya mwili kupevuka? Sijawahi kuelewa kabisaaaah.
N mapenz tena pale ukikuta waliopendana kwel halafu ije itokee mmoja kazingua kuna maumivu makali mno,wewe angalia au jaribu kufanya kuachunguzi kadogo je mpenz wako wa kwanza unae?na kam hayupo mliachana vipi???

Kama ilitokea mliachana basi huenda mliachana kwa bifu zito mno,Mara nyingi Yale mapenzi ya kipindi kile huwa ni real true love,ndo mana watu huachana/kutengana kwa uhasama mkubwa sana.
 
N mapenz tena pale ukikuta waliopendana kwel halafu ije itokee mmoja kazingua kuna maumivu makali mno,wewe angalia au jaribu kufanya kuachunguzi kadogo je mpenz wako wa kwanza unae?na kam hayupo mliachana vipi???

Kama ilitokea mliachana basi huenda mliachana kwa bifu zito mno,Mara nyingi Yale mapenzi ya kipindi kile huwa ni real true love,ndo mana watu huachana/kutengana kwa uhasama mkubwa sana.
Inaweza kuwa kweli, maana kuna rafiki angu (ke) alikua na boy wake mmmmmh, alikua anapigwa wee na mzaz ake hakomi anaendelea tyuih mahusiano na boy ake. Ila now tyme kila mtu yupo na mahusiano mengine.
 
Ndo hivyo mkuu
Inaweza kuwa kweli, maana kuna rafiki angu (ke) alikua na boy wake mmmmmh, alikua anapigwa wee na mzaz ake hakomi anaendelea tyuih mahusiano na boy ake. Ila now tyme kila mtu yupo na mahusiano mengine.
 
Wakuu ebu tuwe wawazi, hivi uko mliko serious mnafeel na kuexperience real love? Maana kwa upande wangu mambo ni bila bila, mapenzi ya kweli naishia kuyaona kwenye movies na kuyasikia kwenye lyrics za nyimbo.

Kuna muda nasikiliza nyimbo mpka nawaza kwamba hivi vitu kweli vinatokea na watu wanapendwa kwa kiwango hiki, au ni kwamba natafuta kitu ambacho ni immaginary?

Naandika yote haya ili pengine niweze kujitune niendane hali halisi, kuna muda unakutana na mdada unatia nia, ila baada ya muda unaona kabisa inaektiwa..kifupi unaona kabisa namna unavyotumika kwa ajiri ya maslahi yake ya kiuchumi, wengine wanakuwa wawazi toka mwanzo kwamba "mimi ukinihudumia tu nitakupenda".

Bado nauliza je mapenzi ya kweli yapo, au huwa ni maigizo tu. Je ninachokitafuta naweza kukipata au napoteza muda, kuhusu kuwa na mwanamke nisiyempenda na kuwa na hisia nae nilishajaribu mpka kukaa naye nikiamini nitampenda mambo yakawa kinyume kabisa, kadri siku zilivyoenda nilizidi kumchukia.

Je mapenzi ya kweli yapo? Na kama yapo ni kwamba tukubali kwamba mapenzi yana wenyewe?


Hahaha
 
Back
Top Bottom