Ndoa hapana! Sitaki

Ipo philosophy moja kuna rafiki yangu humu jf aliwahi kuniambia kwamba ukienda kutoa posa halafu utajiwe kutoa mahari kubwa hiyo huwa ni mbinu ya kukufukuza kama endapo familia haijakupenda

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna tapeli mmoja aliimba HATAKI NDOA ANATAKA MIGUU YA KUKU NA SODA.
 
Ipo philosophy moja kuna rafiki yangu humu jf aliwahi kuniambia kwamba ukienda kutoa posa halafu utajiwe kutoa mahari kubwa hiyo huwa ni mbinu ya kukufukuza kama endapo familia haijakupenda
Wasukuma huwa wanatumia mbinu hiyo. Kama hawakutaki unaweza kuambiwa utoe hata ng'ombe 70. Wakipunguza sana 65. Hapo washenga ulowatuma watajua kuwa hapa hatutakiwi. Halafu wakati huo huo chakula ni dagaa tu na ugali.

Dalili ya kwanza kwamba mmekubaliwa mtakuta mbuzi au kondoo keshala kisu tayari...na pombe ziko stendibai. Na negotiations hazitakuwa ngumu sana. Hapo mnajua hapa tumepokelewa vyema!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…