Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
Ngoja nikuambie kitu kimoja oa mwanamke wa hivi.
1.akiwepo unaamani sio unawasiwasi.
2. Pili anakuelewa madhaifu yenu
3.upo free kufanya lolote ndani mkiwa wote kuongea lolote ila sio michepuko.
4.unamtunza ila sio mroho wapesa na Wala asiwe anakupressure bila sababu Kuna Ile kukupresha ili uwe kitu ila sio kukupresha upate vitu usivyoweza kufanya.
Ila hakuna mahali popote Africa watakupa mke Bure so oa Mzungu ila hata wa mexico lazima ulipe bride price .
1.akiwepo unaamani sio unawasiwasi.
2. Pili anakuelewa madhaifu yenu
3.upo free kufanya lolote ndani mkiwa wote kuongea lolote ila sio michepuko.
4.unamtunza ila sio mroho wapesa na Wala asiwe anakupressure bila sababu Kuna Ile kukupresha ili uwe kitu ila sio kukupresha upate vitu usivyoweza kufanya.
Ila hakuna mahali popote Africa watakupa mke Bure so oa Mzungu ila hata wa mexico lazima ulipe bride price .