Ndoa humpa hadhi na heshima mwanadamu

Ni Kama kufa na kuzaliwa tu. hatuwezi kuto owa sababu changamoto alizopata nguru mbili, mbona hujandika zuri wanayofanyiana wana ndoa.
 
Kataa ndoa mkuu kenya wambadili sheria za ndoa kwa kelele kma hiz
 
Ma shaa allah, hakika nami naona wenye kukataa ndoa hawana hofu na mola wao (allah awaongoze wao na sisi pia)
Hii kampeni yao ingeendana na kusema hata hao wanawake wasiwale🤣🤣🤣 ingekua bora lkn wao wanakataa ndoa na wanawakr wanawataka, hapa ndipo swala la msingi linakuja kua haja zao zinahitaji kukidhiwa,
Je kwa mwenye kumhofu Mungu ajiulizi vipi atakidhi haja zake matamanio? Hakika upo sahihi kumfananisha mtu huyu na mnyama kwani amepewe utashi na bado ameshindwa kuutumia
Ndoa ni baraka, ndoa ni sababu ya kuzidishiea rizki, ndoa ni ibada, ndoa ni utulivu, allah ajalir wote wenye kutaka ndoa wapate wenza wema watakao kua vitulizo vya nafso zao na waliopo kwenye ndoa awazidishie upendo ana amani ktk ndoa zao
Note, changamoto zipo kwenye ndoa lkn twapaswa kujua nan twatakiwa kumtaka msaada ktk changamoto hizi
Subra ni nguzo pia ktk ndoa, unyenyekevu huleta maelewano pia
 
Mashallah baby zu hakika umenena vyema sana,

Kama ulivyosema kama kweli hawataki ndoa basi wakatae kuwala pia hapo ndio tutajua kweli kampeni Yao INA mashiko vinginevyo ni matapeli kama matapeli wengine tu
 

Chief

Sasa wewe tajir gani ambaye mahari inakuwa tatizo kwako?

Na pili Kwa uzoefu wangu WA kusoma na kuona ndoa za wenye hela mara nyingi huwa hazina changamoto kama ndoa za maskini

Sasa vigezo vya kuwa na ndoa yenye furaha na Amani unavyo kwakuwa Una hela mingi

Je unakwama wapi chief?
 
Sharia za dini ya kiislamu zingekua zinaongoza sirikal, kidgo ungekua umeongea point , huwezi kuta wanaume wa Afghanistan [emoji1023] wanakataa ndoa ,kwa sababu ya mfumo dume , tukubali tukatae utamaduni wa kigeni umefanya ata kusiwe na umuhimu wowote kwenye ndoa
 
Ni kweli utamaduni WA kigeni umesababisha au kuchangia Kwa kiasi Kikubwa kuporomoka au kuziepuka ndoa.

Je swali la msingi, kuna haja gani ya kukumbatia tamaduni ambazo zinaenda kinyume na asili ya mwanadamu?
 
Ni kweli utamaduni WA kigeni umesababisha au kuchangia Kwa kiasi Kikubwa kuporomoka au kuziepuka ndoa.

Je swali la msingi, kuna haja gani ya kukumbatia tamaduni ambazo zinaenda kinyume na asili ya mwanadamu?
Ni kukataa ndoa mkuu mpka waone kuna umuhimu wa kurudi kwenye asili.
 
Ni kukataa ndoa mkuu mpka waone kuna umuhimu wa kurudi kwenye asili.
Kwa upande mmoja upo sahihi chief

Lakini

Je tutarudi vipi katika asili ikiwa kila kukicha Sisi ndio WA Kwanza kupinga kile ambacho kitaturidisha katika asili yetu?

Kama kweli tuna Nia ya kurudi katika asili yetu basi Kwanza tungetambua changamoto ambazo zinatukabili na kisha tutafute mwarobaini WA ishu nzima.

Au waonaje chief
 

Chief nimesikia maoni yako

Nami sina neno zaidi ya kusema kila Mtu ana maoni yake na mtazamo wake

Shukrani
 
Shukrani Sana mtu wangu Kwa maoni yako ambayo naweza sema yapo Kati Kwa Kati na hii ndio maana halisi ya kuwa na mitazamo tofauti.

Nimependa zaidi juu ya kauli yako kwamba,kila kitu kijitetee chenyewe.

"Imeisha iyo..we mooove!!"
Ndoa inaleta Heshima Kwa WANAWAKE TU
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…