Ndoa ina faida gani ?

Ndoa ina faida gani ?

The ice breaker

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2023
Posts
880
Reaction score
1,985
Wazee wamenikalisha kikao, wameniambia nifunge ndoa ..

Ila Sasa Mimi, ni team Kataa ndoa pia Mimi ni Atheist 😔 ( siamini kwenye hayo mambo ya ndoa Wala Mungu)Yani Sina mpango wa kuoa for my lifetime. Ila Sasa wazee ndio wamekomaa balaa , Yani familia imewasha moto kuhusu swala la kufunga ndoa

Nipo njiapanda, nafikiria nifunge ndoa kinafki Ili kuwalizisha
au niwakatae mazima.. Nifanye ninavyo taka Mimi.. Ila Nina watoto wawili mama tofauti,

Au Kuna faida nzuri kwenye ndoa huko ?

Nifanyaje?
 
Wazee wamenikalisha kikao, wameniambia nifunge ndoa ..

Ila Sasa Mimi, ni team Kataa ndoa pia Mimi ni Atheist 😔 ( siamini kwenye hayo mambo ya ndoa Wala Mungu)Yani Sina mpango wa kuoa for my lifetime. Ila Sasa wazee ndio wamekomaa balaa , Yani familia imewasha moto kuhusu swala la kufunga ndoa

Nipo njiapanda, nafikiria nifunge ndoa kinafki Ili kuwalizisha
au niwakatae mazima.. Nifanye ninavyo taka Mimi.. Ila Nina watoto wawili mama tofauti,

Au Kuna faida nzuri kwenye ndoa huko ?

Nifanyaje?
Kufanya tu mwanaume afe mapema. Mapadre hawaoi, wanaishi miaka mingi sana
 
Screenshot_20241216-194234~2.jpg
 
Wazee wamenikalisha kikao, wameniambia nifunge ndoa ..

Ila Sasa Mimi, ni team Kataa ndoa pia Mimi ni Atheist 😔 ( siamini kwenye hayo mambo ya ndoa Wala Mungu)Yani Sina mpango wa kuoa for my lifetime. Ila Sasa wazee ndio wamekomaa balaa , Yani familia imewasha moto kuhusu swala la kufunga ndoa

Nipo njiapanda, nafikiria nifunge ndoa kinafki Ili kuwalizisha
au niwakatae mazima.. Nifanye ninavyo taka Mimi.. Ila Nina watoto wawili mama tofauti,

Au Kuna faida nzuri kwenye ndoa huko ?

Nifanyaje?
Wee bwege nini? Mbona unakuwa kama teenager??!! Mwanaune ni yuke mwenye msimamo. Wee usiyumbishwe na wazazi maana wao hawataishi na huyo mwanamke
 
Fainali uzeeni ,halafu raha ya maisha ni misukosuko ya hapa na pale kupata experience ya maisha mengine,kuwa na kampuni unayoongoza hata kama uko ulipo unaongozwa sasa wewe utakuwa mwanaume wa namna gani hata kuoa utaki ,wewe sio mwanaume ni something else jichunguze .Raha ya kuwa mwanaume ni kukabiliana na kila kitu regardless what?
 
Faida ya Ndoa ni kupata Mtu wa kukulelea Watoto huku akiwa na Uchungu nao, House maid atakulelea lakini kuna mahala hatamjali kwsbb hajamzaa...kifupi unakuwa umepata msaidizi kwa watoto

Pia ukibahatika kupata MKE kwelikweli utakuwa umepata Mshauri mzuri na Mtu wa kukuondolea Stress at times

Ukimpata Opposite na huyo basi itakula upande wako...nasisi hatupo
 
Wazee wamenikalisha kikao, wameniambia nifunge ndoa ..

Ila Sasa Mimi, ni team Kataa ndoa pia Mimi ni Atheist 😔 ( siamini kwenye hayo mambo ya ndoa Wala Mungu)Yani Sina mpango wa kuoa for my lifetime. Ila Sasa wazee ndio wamekomaa balaa , Yani familia imewasha moto kuhusu swala la kufunga ndoa

Nipo njiapanda, nafikiria nifunge ndoa kinafki Ili kuwalizisha
au niwakatae mazima.. Nifanye ninavyo taka Mimi.. Ila Nina watoto wawili mama tofauti,

Au Kuna faida nzuri kwenye ndoa huko ?

Nifanyaje?
Kwanza unajua maana ya ndoa!? NDOA ni NINI..!? kabla hujataka kujua faida la kwanza ujue NDOA NI NINI😁
 
Wazee wamenikalisha kikao, wameniambia nifunge ndoa ..

Ila Sasa Mimi, ni team Kataa ndoa pia Mimi ni Atheist 😔 ( siamini kwenye hayo mambo ya ndoa Wala Mungu)Yani Sina mpango wa kuoa for my lifetime. Ila Sasa wazee ndio wamekomaa balaa , Yani familia imewasha moto kuhusu swala la kufunga ndoa

Nipo njiapanda, nafikiria nifunge ndoa kinafki Ili kuwalizisha
au niwakatae mazima.. Nifanye ninavyo taka Mimi.. Ila Nina watoto wawili mama tofauti,

Au Kuna faida nzuri kwenye ndoa huko ?

Nifanyaje?

UMEPOTEA,

JESUS IS LORD&SAVIOR
 
Fainali uzeeni ,halafu raha ya maisha ni misukosuko ya hapa na pale kupata experience ya maisha mengine,kuwa na kampuni unayoongoza hata kama uko ulipo unaongozwa sasa wewe utakuwa mwanaume wa namna gani hata kuoa utaki ,wewe sio mwanaume ni something else jichunguze .Raha ya kuwa mwanaume ni kukabiliana na kila kitu regardless what?
Kwamba usipo kua na ndoa hauwezi kuwa mwanaume?
 
Wazee wamenikalisha kikao, wameniambia nifunge ndoa ..

Ila Sasa Mimi, ni team Kataa ndoa pia Mimi ni Atheist 😔 ( siamini kwenye hayo mambo ya ndoa Wala Mungu)Yani Sina mpango wa kuoa for my lifetime. Ila Sasa wazee ndio wamekomaa balaa , Yani familia imewasha moto kuhusu swala la kufunga ndoa

Nipo njiapanda, nafikiria nifunge ndoa kinafki Ili kuwalizisha
au niwakatae mazima.. Nifanye ninavyo taka Mimi.. Ila Nina watoto wawili mama tofauti,

Au Kuna faida nzuri kwenye ndoa huko ?

Nifanyaje?
You are a social being and threfre a product of a society. A well think member of a society ought to abide by the societal norms, values and the like!
 
Wazee wamenikalisha kikao, wameniambia nifunge ndoa ..

Ila Sasa Mimi, ni team Kataa ndoa pia Mimi ni Atheist 😔 ( siamini kwenye hayo mambo ya ndoa Wala Mungu)Yani Sina mpango wa kuoa for my lifetime. Ila Sasa wazee ndio wamekomaa balaa , Yani familia imewasha moto kuhusu swala la kufunga ndoa

Nipo njiapanda, nafikiria nifunge ndoa kinafki Ili kuwalizisha
au niwakatae mazima.. Nifanye ninavyo taka Mimi.. Ila Nina watoto wawili mama tofauti,

Au Kuna faida nzuri kwenye ndoa huko ?

Nifanyaje?
Achana nao wanakusumbua tu.Hamia mbali ule life mwayego.
 
Back
Top Bottom